funzo ni,kuachana au kuachwa sio mwisho wa maisha,using'ang'anie ndoa kama haina muelekeo,kwani unaweza ukampata mwengine mwenye mapenzi ya dhati,hata kama mshahara wako mdogo, ukifanya kazi kwa bidii ipo siku,utafanikiwa.ukipanga maisha yako na kuweka malengo ya maisha,ipo siku utafanikiwa