Binti wa kishua kanipenda ila nina mke na mtoto

Akizingatia ushauri huo naamini kuna neema inamtafuta ya kupata dili ya kuendesha maisha yake. Tena awe mstaarabu haswaaaa.
 
Ningesema nina 21 ungesema subiri nikifika 30. Kuchepuka ni uamuzi wa hiyari,hakuna umri unaolazimisha mtu kuchepuka. Na hakuna jema ambalo mtu huvuna kwa kuchepuka zaidi ya majanga tu.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Umri unaendana na matukio na changamoto nyingi katika mahusiano, 30 bado kidogo. na mimi sijasema kucheka ni jambo jema
 
Kidumu cha lita5 kiingie mafuta 20k[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Chai ya moto sana hii
Mkuu ndiyo maana kukawepo behind the scine, mengine tunaeleza ili kuokoa muda mambo yasiwe mengi
 
 
Mwanaume hakuumbwa kuwa na mke mmoja. Ongeza uwe nao wawili. Hata kondoo akizaa dume wafugaji hukasirika hata papai likiwa dume huwa linakatiliwa mbali.
 
Hajui kuwa akienda anaweza kupewa dili la kusafirisha bange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…