Binti wa miaka 12 aokolewa na Simba baada ya kutekwa kwa lengo la kuozwa kinguvu nchini Ethiopia

mungu yupo
 
hao simba nipoa sana yangekuwa mayanga aka utopolo yangezingua maana badala yacheze mpira yenyewe yanamuwaza Morison tu
 
Miujiza ipo na kila siku inatokea...Mi naamini kabisa huyo Ni Mungu TU..muweza ya yote
 
hao simba nipoa sana yangekuwa mayanga aka utopolo yangezingua maana badala yacheze mpira yenyewe yanamuwaza Morison tu
yanga imesaidia kusawazisha goli na tunisia
 
Inawezekana Mungu aliamua kumpa ulinzi huyu binti kwa kumuwekea simba ili jamaa washindwe walichokusudia.
Kuna mtu alitupwa kwenye zizi la Simba huko Ethiopia wakati ulee hii hadithi ya Bible na hawakumla, labda huyu ni mjukuu wa huo ukoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…