Binti wa Mkenya Prof. Makau Mutua kuamua kesi kortini Dar-es-salaam kama Hakimu Mkazi

Utaratibu wa uraia kwa tanzania sio unatoka kwa baba?
Kasome Vizuri katiba. Mzazi mmoja anaweza kuwa baba Au mama. Kama wakati anazaliwa Mzazi wake mmoja akiwa Mtanzania huyo ni Mtanzania
 
Kasome Vizuri katiba. Mzazi mmoja anaweza kuwa baba Au mama. Kama wakati anazaliwa Mzazi wake mmoja akiwa Mtanzania huyo ni Mtanzania
Kwani ni ugonvi mkuu?nikunielekeza tu.
 
Dah! Kumbe !
Heshima mob mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…