watu hufanana, anayemwa kuwa mama ana mkapa alizaa na mramba ni peter samson maro, director general of simu200ltd, a former lecturer at ardhi university.
lakini mramba himself one day denied this, it was 2004 when i asked him about that while he was our Rc at mbeya
i also spent almost 4 years with peter samson maro at uclas, hata siku moja hakuwahi kuhisiwa hilo, ila tulilokuwa tunajua ni kuwa ingawa ni mtoto wa mama ana mkapa hakuwa mtoto wa mkapa
kuna kisa kimoja kilitokea 1999, when mzee samson maro, baba yake na ana mkapa, sent someone dickson , ambaye alikuja uclas na kutuomba tumkataze tabia ailiyoanza ya peter kwenda kwa mama yake wakati huo akina mkapa wanaishi pale karibu na agha khan nasikia ndo nyumba ya mkapa mpaka leo
peter maro anatumia ubini na jina la babu yake mzaa mama yaani samson maro. ninajua ni member humo jamvini ni vema akaliweka hili wazi