Kisura
JF-Expert Member
- Jun 21, 2007
- 364
- 26
peter maro anatumia ubini na jina la babu yake mzaa mama yaani samson maro. ninajua ni member humo jamvini ni vema akaliweka hili wazi
...and then what? Hii habari itakusaidiaje wewe au mimi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
peter maro anatumia ubini na jina la babu yake mzaa mama yaani samson maro. ninajua ni member humo jamvini ni vema akaliweka hili wazi
...and then what? Hii habari itakusaidiaje wewe au mimi?
Nani kasema ni binti wa Mramba?Kama yeye ni binti wa Mramba kwa hiyo iweje?
Nani kasema ni binti wa Mramba?
Dizaini bingwa kaanzia ktk ya thread (pure kukurupuka)!! LOL....kaaaazi kweli.
Hebua angalia swali lako ulivyoulizaKasema Kaka Mkubwa (mtu aliyeanzisha mada hii)....
Kama yeye ni binti wa Mramba kwa hiyo iweje?
Hebua angalia swali lako ulivyouliza
Duh! kama ndiye yeye toka tumboni kwa mama mkubwa, basi waliokuwepo kwenye sherehe watutonye iwapo mama mkubwa na/au BWM wa/alikuwepo. Mikao na mimacho yao ilikuwajewaje pale kwenye mishuguliko. Si unajua tena kwenye masuala haya, unaweza kujikausha lakini stepu fulanifulani unajisahau.
inasemekana kuwa si BWM wala mama aliyehudhuria sherehe hizo!!!!!!
Picha zi wapi?
Mramba amezaa na Anna watoto wawili....