Binti wa Paul Kagame anafaa kuwa hata Miss World


Hongera maana kimbunga naona hakijakupiga mweleka chini, ila oparesheni ya pili itakuwa tornadoe sijui kama utapona maana mpaka sungusungu watakuwepo.

Jipange mkigali!!
 
Ndio watoto alowapeleka kusomea mambo ya jeshi US....naona PK anafuata nyayo za M7; anataka kulindwa na watoto wake maana hana imani na mtu yeyote

http://newsofrwanda.com/wp-content/uploads/2012/12/Ange-Kagame-left-President-Paul-Kagame-Centre-and-Cyomoro-Ivan-KagameT.jpg[/IMG]
 
Kamesimama vyema lkn mm na wadada wembamba sana kama hivi ni mbali mbali kabisa!

Mnyakyusa mm nimezoea msichana nyuma lzm atingishike bana
 
Hongera maana kimbunga naona hakijakupiga mweleka chini, ila oparesheni ya pili itakuwa tornadoe sijui kama utapona maana mpaka sungusungu watakuwepo.

Jipange mkigali!!

Humble African ha ha ha hapana mkuu mimi kimbunga hainihusu kwa kuwa mimi ni mtanzania halisi. Nilipata bahati ya kwenda Kigali mara kadhaa. Kimbunga or not bado nawakubali sana mabinti wa kinyarwanda.
 
Humble African ha ha ha hapana mkuu mimi kimbunga hainihusu kwa kuwa mimi ni mtanzania halisi. Nilipata bahati ya kwenda Kigali mara kadhaa. Kimbunga or not bado nawakubali sana mabinti wa kinyarwanda.

Uungwana ni vitendo ndugu!! Nimeuona uungwana wako hata kama ni mnyarwanda basi umequalify kuwa Mtanzania maana umejibu kiistarabu kama Watanzania.

Karibu Tanzania ndugu!!
 
she is really beautful. Ila miss world kushinda hmmm.
Wanyarwanda wazuri na warefu,and very smart ila wana attitudes!!!!
Dharau na roho mbaya wengi wao
 
Rudi kwenu Rwanda ukamsifie kwa baba yake!!!!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…