Hawa watutsi huwa ni wazuri sana sio utani ila wana roho ya kisasi au unaweza kusema revenge.Nliwahi bahatika kuwa nao darasa moja wakati nasoma huko Kenya,ni wakarimu na wazuri ila ukimwoa ndugu yangu lazima atarudi kwao tu aolewe tena na Kabila lake hata Kama umezaa nae.