Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Shangaaa labda shingo ndefu kama ya twigaa wa kawaidaa mno wazuri kina Kim k banaa
Weka picha. Sisi wengine ani akina TomasoKiukweli binti yangu lulu ni mzuri kuliko huyo.
Kiukweli binti yangu lulu ni mzuri kuliko huyo;
..............samahani kwa atakayekwazika.
Kiukweli binti yangu lulu ni mzuri kuliko huyo;
..............samahani kwa atakayekwazika.
Sisi ndio wanaume na ndio tunaojuwa tunataka nini au aweje mwanamke.
Wote ni wazuri tena binti wa Kagame ni mzuri zaidi ila kuna advantage na disadvantages.
Umbo la Lulu ni muhafaka kwenye yale mambo ya sita kwa sita ni flexible wakati huyu twiga wa kagame ni showoff tu ya street.
This comment is through my experience am tall man also by height.
Ukionyesha nia tuu hapo na ukabainika,lazima uuwawe kimafia. Lakini bila shaka vijana wa mjini wanamega kisela.
Sasa wewe unadhani hamegwi? Na yeye ana roho ya kupenda kama ilivyo kwa mwanadada mwingine yeyote yule.
mzuri ila mrefu sana!!!
Hahaaaaa hakuna cha umafia hapo watu hata mke wake wanamchapia tuUkionyesha nia tuu hapo na ukabainika,lazima uuwawe kimafia. Lakini bila shaka vijana wa mjini wanamega kisela.
Nahii picha jamaniShe is a simply stunner one, nimekapenda buure.