Binti wa Paul Kagame anafaa kuwa hata Miss World

Shangaaa labda shingo ndefu kama ya twigaa wa kawaidaa mno wazuri kina Kim k banaa

Nimechek posts zako nyingi ...una wivu wa kijinga sana kama sura yako mbovu vunga....ndo ulivoumbwa...mbona madem wabaya mnakuaga na wivu wa kijinga ivo...et mzuri Kim K..kwa kipi sasa...makalio ya bandia ama??? Lile domo lake??
Ukiendelea na wivu wa kishamba na majungu nitaongea na mods wakupige ban maana huna faida hapa JF
 
Kiukweli binti yangu lulu ni mzuri kuliko huyo;
..............samahani kwa atakayekwazika.
 
Kiukweli binti yangu lulu ni mzuri kuliko huyo;
..............samahani kwa atakayekwazika.

Sisi ndio wanaume na ndio tunaojuwa tunataka nini au aweje mwanamke.

Wote ni wazuri tena binti wa Kagame ni mzuri zaidi ila kuna advantage na disadvantages.

Umbo la Lulu ni muhafaka kwenye yale mambo ya sita kwa sita ni flexible wakati huyu twiga wa kagame ni showoff tu ya street.

This comment is through my experience am tall man also by height.
 

Mkuu basi upo pamoja na Mamndenyi,Uzuri wa mwanamke ni maumbile yake akiwa mtupu.
 
Ukionyesha nia tuu hapo na ukabainika,lazima uuwawe kimafia. Lakini bila shaka vijana wa mjini wanamega kisela.
 
Ukionyesha nia tuu hapo na ukabainika,lazima uuwawe kimafia. Lakini bila shaka vijana wa mjini wanamega kisela.

Sasa wewe unadhani hamegwi? Na yeye ana roho ya kupenda kama ilivyo kwa mwanadada mwingine yeyote yule.
 
yuko poaa sanaa..katika east africa hakuna bint wa presidah akataye mfikiaaa.....nani anabishaaa
 
Ukionyesha nia tuu hapo na ukabainika,lazima uuwawe kimafia. Lakini bila shaka vijana wa mjini wanamega kisela.
Hahaaaaa hakuna cha umafia hapo watu hata mke wake wanamchapia tu
Kuna tetesi zilipata kutokeaga kwamba mtoto wa tatu wa kiume wa kagame sio wake kiuhalisia ila ni wa balozi mmoja hivi ambaye alipita na mama janeti kibabe
Ila mzee baba kakausha tu na umafia wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…