Binti wa Paul Kagame anafaa kuwa hata Miss World

Binti wa Paul Kagame anafaa kuwa hata Miss World

C2l_0iR4.jpeg
 
Mbona hamkui? Mwanamke hapimwi ivo? Mara oo cute!! Nini? Hao mbona bongo kibao na kuzidi? Huo ni uzuri wa kawaida tu. Shivas.bilicanas pale nje.kinondoni na mitaa ya sinza bamaga kuja mpaka kwa remi mbona rele?
 
As much as I like her, unfortunately I'm 5'10. I'm too short for her. If I were at least 6'2 hell yeah!

Mkuu hujui kuwa kitandani mnatosha na kulingana?

Halafu umejuaje kama anataka warefu kama yeye?
 
Mbona hamkui? Mwanamke hapimwi ivo? Mara oo cute!! Nini? Hao mbona bongo kibao na kuzidi? Huo ni uzuri wa kawaida tu. Shivas.bilicanas pale nje.kinondoni na mitaa ya sinza bamaga kuja mpaka kwa remi mbona rele?
Wewe huwajui mademu wa kitutsi funga domo lako tu.
 
Mzuri but sio sanaaaaaaaa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Halafu mnamlaumu mzee kuwa anakojoa ovyo. Kumbe mpo wengi. Sasa akitumwa huyu kukusainisha mkataba hata kama ni feki si mtasaini ?
 
Back
Top Bottom