Binti wa TB Joshua kuolewa Arusha

chineke jamani nilikua wapi kufahamu hii ishu chuga boy hauja tuangusha sarah kafanana na mshua wake balaa
 
Wachagga hawana tofauti na wanigeria, ni opportunists sana, ukifika Lagos ukaona mix races walivo wengi ndio utaelewa.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
wachagga watu wa fursa sana.
 
Chonde chote, jirani yake nakuomba nikuagize unitafutie namba za hako kabinti ka familly ya Bwana harusi, Huenda nikabahatika na mimi tukazaa watoto machotara
 
Hongera kwao na kwa msela hasa maana hawa watoto wa vibupa kuwang'oa ni ushindi tosha.

Huyo jamaa kamanangekuwa mkenya ah naona afrika mashariki nzima tungejua lkn kwa sie wanTz wazee wa low profile
 
kabla ya kupost muwe mnauliza kwanza!!
Kwanza ndoa ilishafungwa last year!
Pili ,TBJoshua ana mabinti 3,aliyeolewa ni 1st born sio binti wa pekee,ana wadogo zake 2,Promise na Heart!
Ndo imeshafungwa ya 3 sasa jana ya Kitakoliki,sijui mlikuwa mnambishia nn mleta Uzi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…