The Traveller1
Member
- Jan 6, 2020
- 36
- 139
Mzee Said Mohamed, asalaam aleykum. Nafurahi kusoma kila andiko lako. Uandishi wako hauchoshi msomaji, natamani nisome na kusoma tena kila ukiandika.
Wewe ni mmoja wa watu nitawasifia kabla ya mauti yao. Una kipawa kweli-kweli kwenye simulizi. Hongera.
Wewe ni mmoja wa watu nitawasifia kabla ya mauti yao. Una kipawa kweli-kweli kwenye simulizi. Hongera.