Hitilafu ya rangi (albinism) husababishwa na mabadiliko hasi katika eneo kinasaba(Gene) kwenye chromosome ya 11; eneo hili hutengeneza kimeng'enyo au catalist (enzyme) iitwayo tyrosinase. Kuharibika(mutation) kwa eneo kinasaba huathiri ubora wa enzyme tyrosinase inayopelekea kushindwa kutengenezwa rangi ( melanin) katika ngozi,nywele,mboni ya jicho(iris) na ukuta wa nyuma ndani ya jicho(retina) .
Viungo vyote vya albino ni vya kawaida kabisa isipokua kukosa rangi hiyo(melanin pigment).
Katika sehemu zote hizo rangi hii ufanya kazi ya kufyonza mionzi mibaya ya jua ,yaani UV light,type A,B&C; inayoweza kusababisha cancer. Mionzi hii inayokuwa na mawimbi yenye (wavelength) around 300nm hunyonywa na processed amino acid tyrosine yenye uwezo wa kunyonya mionzi katika wavelength hiyo.kuna aina mbili za melanin, moja ya mchanganyiko nyeusi na kahawia (eumelanin) hasa kwa waafrika,na nyingine nyekundu na njano(pheomelanin) hasa kwa wazungu.
Viungo vyote vya albino ni vya kawaida kabisa isipokua kukosa rangi hiyo(melanin pigment).
Katika sehemu zote hizo rangi hii ufanya kazi ya kufyonza mionzi mibaya ya jua ,yaani UV light,type A,B&C; inayoweza kusababisha cancer. Mionzi hii inayokuwa na mawimbi yenye (wavelength) around 300nm hunyonywa na processed amino acid tyrosine yenye uwezo wa kunyonya mionzi katika wavelength hiyo.kuna aina mbili za melanin, moja ya mchanganyiko nyeusi na kahawia (eumelanin) hasa kwa waafrika,na nyingine nyekundu na njano(pheomelanin) hasa kwa wazungu.