Biomedical Engineering

Ok chief, inahusika kwenye matengenezo ya hvo vifaa au kvp boss
Elimu ya kibongo/kiafrika hata usome level kubwa utaishia kuoperate mashine zilizotengenezwa majuu

Sio kutengeneza
 
Inapatikana muhimbili pekee, inachukuliwa na PCM pkee
Uongo huu, Biomedical iko DIT na inaitwa Diploma in Biomedical equipment engineering, Pia ipo Arusha technical College both Diploma and Degree ambayo ndio kama kitovu cha hii course, muhimbili pia ipo na MUST pia ipo diploma
Ila kwa degree ilikuwa ni Arusha technical pekee ndio ilikuwa inatoa hio course ila kwa sasa muhimbili nae ameanza
Biomedical ni course ina deal na vifaa tiba kwa Arusha technical iko combined na umeme na full name yake ni Beng in Electrical and biomedical engineering
Ila hizo course mpya huwa ni Upepo tu unaopita kama unataka kusoma engineering ambazo hazichuji basi soma core course kama Mechanical engineering, electrical engineering na Civil engineering nadhani wengi humu wapo aware na upepo wa course mpya tukianzia computer science na Telecom zilivyo anza kuingiw ilikuwa hot cake haswa watu wanachukuliwa bado wakiwa vyuoni final year hadi UD akapandisha cut off point ambapo ili udahiliwe Telecom uwe umevunja lakini leo ni sote tunaona Telecom haina inshu tena sokoni na mbaya zaidi soko limeshikwa na wahindi ambao mishahara yake ni midogo plus manyanyaso ila kama ni passionate na una connection soma hio biomedical
 
Arusha Technical ndo chuo cha kwanza kutoa hio Degree hapa nchini na graduates wa kwanza wamemaliz mwaka jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…