Biriani na pilau wako ligi mbili tofauti, pilau yuko ligi kuu biriani anacheza daraja la nne

Biriani na pilau wako ligi mbili tofauti, pilau yuko ligi kuu biriani anacheza daraja la nne

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Kwa kipindi Cha miaka minne nimekuwa nikifanya utafiti mdogo na muhimu, ambapo nilifanikiwa kuhoji watu 500. Pamoja na mahojiano hayo pia nilikula sehemu 100 tofauti tofauti.

Katika hitimisho, nimefanikiwa kukubali kabisa pasipo shaka kuwa pilau na biriani misifa wako ligi mbili tofauti, pilau anacheza ligi kuu na mara kadhaa huwa anacheza ligi ya mabingwa wakati biriani anacheza ligi daraja la nne.

Biriani anabebwa na sifa lakini hamna kitu kabisa.
 
Kwa kipindi Cha miaka minne nimekuwa nikifanya utafiti mdogo na muhimu, ambapo nilifanikiwa kuhoji watu 500. Pamoja na mahojiano hayo pia nilikula sehemu 100 tofauti tofauti.

Katika hitimisho, nimefanikiwa kukubali kabisa pasipo shaka kuwa pilau na biriani misifa wako ligi mbili tofauti, pilau anacheza ligi kuu na mara kadhaa huwa anacheza ligi ya mabingwa wakati biriani anacheza ligi daraja la nne.

Biriani anabebwa na sifa lakini hamna kitu kabisa.
Ukimaliza ule ugali maziwa ulale
 
We mshamba wa wapi unauliza watu wanapikia mchele wa mbeya..labda biryan na wali lakini sio pilau.

Pilau ni ovyo na sio kila mtu anakula yaani Yale maviungo tu ni madogo ndo wanapenda ila halina mzuka.

Tafuta biryani ni mjumuiko wa mchele wa "Basmati" sio mnaolima kweny mitaro na mifereji huko mbeya...Mchuzi wa biryani ukiwa na nyama za kusaga ,na Kuna vitu kibao mpaka tende mbivu zile zinawekwa, ndo biryani sio mnaopika uchochoroni.

Unauliza watu ambao wanapikia sijui mchele wa mikate👉🙄 we wakuja nn!!
 
PILAU LITABAKI KUWA PILAU NDIO ATA BUFFETS ZA HARUSI HUWEZI KUTA BIRYANI LAZIMA UKUTE PILAU ,,,BIRYANI LINAHITAJI MSAADA WA ROAST LAKINI PILAU ATA LIKIWA BUBU NA KACHUMBARI LINASHUKA VIZURI TU
 
We mshamba wa wapi unauliza watu wanapikia mchele wa mbeya..labda biryan na wali lakini sio pilau.

Pilau ni ovyo na sio kila mtu anakula yaani Yale maviungo tu ni madogo ndo wanapenda ila halina mzuka.

Tafuta biryani ni mjumuiko wa mchele wa "Basmart" sio mnaolima kweny mitaro na mifereji huko mbeya...Mchuzi wa biryani ukiwa na nyama za kusaga ,na Kuna vitu kibao mpaka tende mbivu zile zinawekwa, ndo biryani sio mnaopika uchochoroni.

Unauliza watu ambao wanapikia sijui mchele wa mikate[emoji117][emoji849] we wakuja nn!!
Basmati
 
We mshamba wa wapi unauliza watu wanapikia mchele wa mbeya..labda biryan na wali lakini sio pilau.

Pilau ni ovyo na sio kila mtu anakula yaani Yale maviungo tu ni madogo ndo wanapenda ila halina mzuka.

Tafuta biryani ni mjumuiko wa mchele wa "Basmart" sio mnaolima kweny mitaro na mifereji huko mbeya...Mchuzi wa biryani ukiwa na nyama za kusaga ,na Kuna vitu kibao mpaka tende mbivu zile zinawekwa, ndo biryani sio mnaopika uchochoroni.

Unauliza watu ambao wanapikia sijui mchele wa mikate[emoji117][emoji849] we wakuja nn!!
Naishi Zanzibar nimekula Biriani nyingi Sana ila ukweli ni kuwa Pilau lipo juu
 
Naishi Zanzibar nimekula Biriani nyingi Sana ila ukweli ni kuwa Pilau lipo juu
Mi pilau sio kula hata kuonja yaani sipatani nalo kabisa hata kuligusa either kuumwa na tumbo au kuharisha kabisa.
 
Pizza na mwenzie baga wajiandae,ndugu yao biriyani kashtukiwa
 
Back
Top Bottom