Biriani ya nyama

Hahahaha hupasuki tumbo bwana..m
Laa laa...kwa mtindo huu uloanzisha hakuna Msalliye kwa siye tunaoendekeza mloo usitupite !! hapatapona mtu!!
Yaani mwezi mzima wateremsha mapochpocho 5 stars bila mapumziko..... Mmmh unania mbaya binti Nass!!
Tiisllam yedeiki !!
 
Laa laa...kwa mtindo huu uloanzisha hakuna Msalliye kwa siye tunaoendekeza mloo usitupite !! hapatapona mtu!!
Yaani mwezi mzima wateremsha mapochpocho 5 stars bila mapumziko..... Mmmh unania mbaya binti Nass!!
Tiisllam yedeiki !!

Hahahaaahha.....wewe kula tu mwili haujengwi kwa matofali lol
 
farkhina kuna chakula kimoja nimessahau jina lake nlishawahi kuekezwa siku moja kupika miaka mingi sana kama unajua nisaidie nakitamaniii sana.
Zinakuwa kama mkate wa ufuta ila hauweki hamira unabonda bonda unga ila unakandia maziwa sijui tui la nazi sikumbuki unaweka nyama na njegere katikati size zinakuwa kama mkate wa ufuta halafu unazikaanga kama na mafuta mengi kama ya kukaangia maandazi.Nitaaamu sana kama umeelewa naomba nisaidie mupenzi.
Mwaaaa mwaaa mwaaa
 
Last edited by a moderator:

Wacha nkifikirie then ntakwambia ni nini...kama nakifahamu ntakuambia
 
Last edited by a moderator:

Umesomeka mamaaa.
Uzile ndio nini,hapo sijaelewa bado. Naomba unilekeze duka/mahali hapa dsm ambapo naweza pata spices/viungo vya kunogesha maanjumati ambavyo often unavitajaga humu jamvini km hiyo uzile,zafarani,zabibu kavu e.t.c
 
Umesomeka mamaaa.
Uzile ndio nini,hapo sijaelewa bado. Naomba unilekeze duka/mahali hapa dsm ambapo naweza pata spices/viungo vya kunogesha maanjumati ambavyo often unavitajaga humu jamvini km hiyo uzile,zafarani,zabibu kavu e.t.c

Uzile ni bizari ya pilau...

Maduka ya viungo kwa dsm sifaham ngoja wenyewe wa dar waje watakuambia
 
Umesomeka mamaaa.
Uzile ndio nini,hapo sijaelewa bado. Naomba unilekeze duka/mahali hapa dsm ambapo naweza pata spices/viungo vya kunogesha maanjumati ambavyo often unavitajaga humu jamvini km hiyo uzile,zafarani,zabibu kavu e.t.c

Ni binzari nyembamba
 
Nenda kariakoo, pale Shimoni, kwa nyuma kuna solo la nje, wanauza viungo vya kila aina mule ndani, Pia upande wa pili ule upande wa maduka ya Tahfif kuna duka moja kubwa sana la viungo, limeandikwa SPICE....something....hutokosa kiungo chochote pale.

Kila la kheri Ndesalee
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana

Sasa hv nishakaribia humu jamvini. Mana nimechoka kula migahawani kila siku.
Wkt nipo primary to O-Level mamangu alikuwa ananifundishaga kupika. Nashukuru jikoni mimi sio mgeni sana,ingawa nimezaliwa na kukulia mjini.
 

Nasubiri kukuche vizuri niende maeneo hayo leo. Ila naomba ni PM spices ambazo ni vzr nikawa nazo ndani kwa ajili ya mambo ya maakuli mbali mbali sio based on pilau tu.
 
Last edited by a moderator:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…