Biriani ya nyama

Nasubiri kukuche vizuri niende maeneo hayo leo. Ila naomba ni PM spices ambazo ni vzr nikawa nazo ndani kwa ajili ya mambo ya maakuli mbali mbali sio based on pilau tu.

Kuna mchanganyiko wa spices hapa yaani unatengeneza wenyewe huo unaweka kwenye pilau mchuzi biriani katlesi ila tu si kwenye chai...
 
 
Amu shemegi hajambo?

Hajambo.
Kuolewa na mwanaume anayejua kupika ni shida. farkhina shem wako anajua kupika balaa.
Mie hata robo simfikii.
Basi nimekosa ujasiri namuacha apike yeye mimi namsaidia kutayarisha tu au najilaza sitting room.
Kama ingekuwa nyumba ya kushare walah ningekoma maana maneno ya waja nimempa limbwata.
Wakati mwingine naona aibu farkhina hata kukupiga picha nashindwa....ngoja nikutumie baadhi ya picha nlizojiba nikajipiga
 
Last edited by a moderator:
Huyo alikuwa sato.
Sauce yake ni tamu balaa.
Basi namtaniaga Mpenzi niache kazi niwe nasimamia miradi na mama wa nyumbani.
Ananjibu "asa ukikaa home utakuwa na kazi gani kupika nakupikia mke wangu zaa kwanza ndo ukae home uwe unacheza na mtoto"
 

Attachments

  • 1423285103036.jpg
    70 KB · Views: 289
I always wanted to learn how to cook Biriani as it is my favorite dish. Thanks.
 
Huyo alikuwa sato.
Sauce yake ni tamu balaa.
Basi namtaniaga Mpenzi niache kazi niwe nasimamia miradi na mama wa nyumbani.
Ananjibu "asa ukikaa home utakuwa na kazi gani kupika nakupikia mke wangu zaa kwanza ndo ukae home uwe unacheza na mtoto"

Anaonekana alikua mtamu sana hongera dear
 


Hahahahaha shem wangu anajua kukutunza mrembo ati
 
Last edited by a moderator:
Nimeshaijua hiyo nyama....ila babu weye una lako jambo lol
Umewahi kula maini pia yaliyopikwa hivo hivo?

Naomba unielekeze mapishi mazuri ya maini kama hutojali..nataka nianze nayo kesho
 
Usijali we uliza tu..watu watatu

Okay...

Mahitaji

Maini kg 1

Nyanya ya kopo

Kitunguu maji kimoja kikubwa...

Kitunguu saumu kilichotwangwa kijiko kimoja cha chai...

Tangawizi kijiko 1 cha chai...

Limau 1....

Bizari ya pilau nusu kijiko cha chai..

Mdalasini nusu kijiko cha chai....

Chumvi kiasi...

Namna ya kutaarisha

Katakata maini yako weka katika sufuria tia chumvi,saumu na tangazi...

Bila ya kuweka maji chemsha maini moto mdogo mdogo...

Maji yakikaribia kukauka ongeza kdg kdg hadi kuwiva ila bakiza na supu.....

Katika sufuria ingine kaanga kitunguu hadi golden brown na weka maini tu bila ya supu..

Weka nyanya ya kopo,mdalasini na bizari ya pilau (cummin) na koroga acha vichemke...

Weka limau na chumvi kdg kama itahitajika...

Epua tayar kwa kuliwa..

Ukipenda weka hoho na giligilani
 
ray lee kumbuka kuwa maini yanakolea haraka chumvi so usiweke chumvi nyingi
 
Last edited by a moderator:

Hapo kwenye kukaanga vitunguu umeniacha kidogo..unasema niweke maji tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…