Biriani ya nyama

Biriani ya nyama

Hapo kwenye kukaanga vitunguu umeniacha kidogo..unasema niweke maji tu?

Weka maini baada ya kukaanga kitunguu...


Na utakayoweka nyanya ya kopo weka ile supu ya maini ...
 
farkhina hivi viungo thomu na zafarani ndo vipi au vina majina mengine ya kizungu nisaidie
 
Last edited by a moderator:
farkhina hivi viungo thomu na zafarani ndo vipi au vina majina mengine ya kizungu nisaidie

Thomu ni kitunguu saumu kwa kizungu ni garlic...

Zafarani kwa kizungu ni suffron hiyo hapo chini kwa picha
 

Attachments

  • 1428193529266.jpg
    1428193529266.jpg
    10.5 KB · Views: 425
Last edited by a moderator:
Thomu ni kitunguu saumu kwa kizungu ni garlic...

Zafarani kwa kizungu ni suffron hiyo hapo chini kwa picha

Asante kweli unajua kiswahili. Hii zafarani sidhani kama naifahamu kwa kweli
 
Subiri nitizame humu kama ninayo ambayo tayari ni powder
 
farkhina umenifanya nimeze nusu lita ya mate kwa jinsi ulivyonikumbusha utamu wa wali wa biriani uuuwiii. Itabidi nijifunze kupika maana huwa najialika kwenye shughuli zenye hiyo makitu. Nisaidie umeniacha namba 6 sijaelewa vizuri
 
Last edited by a moderator:
farkhina umenifanya nimeze nusu lita ya mate kwa jinsi ulivyonikumbusha utamu wa wali wa biriani uuuwiii. Itabidi nijifunze kupika maana huwa najialika kwenye shughuli zenye hiyo makitu. Nisaidie umeniacha namba 6 sijaelewa vizuri

Hii recipe kidogo ipo na Ugumu flani ntaweka nyengine ambayo rahisi zaidi very soon en shaAllah
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
farkhina mpenzi thanks for this!
Sikujua unaweza tumia maini pia kama mboga?!

Halafu, ni mchele gani mzuri zaidi kwa biriani?!, nimewahi kulia basmati rice na ilikuwa nzuri kupita maelezo sijawahi jaribu na mchele tofauti sijui kama itakuwa nzuri au la?!

Nunua mchele unaitwa tilda kama hujaujua nkutumie mfuko wake
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom