- Thread starter
- #61
The courtesy of 2015
Thank you!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The courtesy of 2015
Hukuweka mtindi ila mate yananitoka
Nalog off
Dada @farkhina hiyo step #3 tuna ndio nini.?!
Namna ya kutaarisha
1.Kaanga kitunguu maji hadi kiwe rangi ya kahawia
2.Weka kitunguu saumu na tangawizi
3.Weka tuna koroga vizuri
Itakuwa Samaki aina ya tuna. Kiswahili nafkiri jodariDada @farkhina hiyo step #3 tuna ndio nini.?!
Nataka nimshawishi wifiyo apike hii kitu,ila sasa hiyo term ]tuna imenipiga chenga.
farkhina, hili darsa lazima weekend hii nilifanyie kazi manake huyu Swahibu angu wa Kipemba huku mtaani keshanishinda. Yaani Uswahilini Biriani unauza elfu 7; aaaargh-- sema dah, ana vitu flani hivi amazing!1.Samaki wa kipande 1/2 kg
2.Mchele 1/2 kg
3.Vitunguu maji 2
4.Carrot 1 kubwa ikwaruze
5.Mdalasini 1 teaspoon
6.Bizari ya pilau 1/2 tablespoon
7.Nyanya ya kopo
Upo sahii Angel, Tuna = Jodari!Itakuwa Samaki aina ya tuna. Kiswahili nafkiri jodari
Pamoja mkuuUpo sahii Angel, Tuna = Jodari!
Dear Asalam alaykum. Happy new yearYeah sikuweka
Habar za siku
Nimesahaulika loh...!!!Dear Asalam alaykum. Happy new year
Dear Asalam alaykum. Happy new year
Kamwe huwezi sahaulika.Nimesahaulika loh...!!!
AlhamdulillahWaalayka salaam habibty
Mambo vipi wote hamjambo?
Sikufanya kosa kukuchagua uwe wangu.. Wenye kiroho papo walie tuuKamwe huwezi sahaulika.
Yako wewe ya sirini. Imepambwa kwa maua na kuekewa al oud.
Sikufanya kosa kukuchagua uwe wangu.. Wenye kiroho papo walie tuu
Hahahhaa...!!!Aaaah Sababu hata ukimuuliza mtoto atakujibu.