Sic March
JF-Expert Member
- Mar 2, 2019
- 690
- 906
Salaam kwenu wana jamv pendwa la Jamii forums
Binafs nichukue nafas hii adimu sana kuwashukuru kwa kuendelea kuwa pamoja nimejifunza mengi na nitaendelea kujifunza meng kupitia kwenu
Kuelekea siku ya kesho ambayo nitakuwa nafurahia kuongeza mwaka mwingine katika miaka niliyonayo nichukue nafas hii kuwashukuru wote wana jf kwa kuendele kunipa elimu na burudani kupitia kwenu najifunza mambo meng sana
Kuna muda nakuwa na matatizo lkn nikiingia humu nakuta wapo wengne wana matatizo makubwa kuliko mm hvo naona sina haja ya kuhuzunika nipige moyo konde nisonge mbele mungu ni wetu sote na hujibu kwa muda wake
Tuendelee kutiana moyo katika furaha n karaha tusisahau kuombeana
Hakuna mwana jf hata mmoja nishawah kumuona lkn huwa nikisoma thread naona kama tupo pamoja na tunajuana naamn ipo siku tutapata nafas hatabkwa mmoja mmoja kujuana kwa sura
Mimi sio mwandishi mzuri ila nashukuru sana kwa umoja wetu mungu atulinde daima [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
@sic march
Boy with mission
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafs nichukue nafas hii adimu sana kuwashukuru kwa kuendelea kuwa pamoja nimejifunza mengi na nitaendelea kujifunza meng kupitia kwenu
Kuelekea siku ya kesho ambayo nitakuwa nafurahia kuongeza mwaka mwingine katika miaka niliyonayo nichukue nafas hii kuwashukuru wote wana jf kwa kuendele kunipa elimu na burudani kupitia kwenu najifunza mambo meng sana
Kuna muda nakuwa na matatizo lkn nikiingia humu nakuta wapo wengne wana matatizo makubwa kuliko mm hvo naona sina haja ya kuhuzunika nipige moyo konde nisonge mbele mungu ni wetu sote na hujibu kwa muda wake
Tuendelee kutiana moyo katika furaha n karaha tusisahau kuombeana
Hakuna mwana jf hata mmoja nishawah kumuona lkn huwa nikisoma thread naona kama tupo pamoja na tunajuana naamn ipo siku tutapata nafas hatabkwa mmoja mmoja kujuana kwa sura
Mimi sio mwandishi mzuri ila nashukuru sana kwa umoja wetu mungu atulinde daima [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
@sic march
Boy with mission
Sent using Jamii Forums mobile app