kengeledoi
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 325
- 230
Asante mkuuHappy Birthday Mkuu.
itakuwa ni ya nchi gani 😀😀😀😀 au ile nchi yetu ya umasaini.Hii thread siyo ya nchii hii
Amina mkuu, Karibu sana kwa misa ya shukrani Jpil hii.Kumbuka Kusali na kutoa sadaka ya Shukrani.
Happy birthday KengeledoiAsante mkuu
Thanks darlinghappy to you
asante mkuu tayari nimeshakua kabisa tena toka nijiunge huku ndo akili inazidi kukomaa.Ongera kwa kufikisha miaka 18.
Uache kupost ujinga sasa.
Ongera vipi mimba ulifanikiwa kupata,asante mkuu tayari nimeshakua kabisa tena toka nijiunge huku ndo akili inazidi kukomaa.
Asante mkuuHongera sana naona hapo kwenye avatar umependeza kweli endelea hivo hivo
hahaaaaa sasa mwaka ndo nimemaliza jana ngoja nikacheki na zile holiday sijui itakuwaje mkuu itabidi nikikuta mambo mazuri uwe baba mlezi tu....Ongera vipi mimba ulifanikiwa kupata,
Au mwaka huu pia umepita kapa?
Labda niwe mjomba lakini baba mlezi naogopa kuombwa Ada.hahaaaaa sasa mwaka ndo nimemaliza jana ngoja nikacheki na zile holiday sijui itakuwaje mkuu itabidi nikikuta mambo mazuri uwe baba mlezi tu....
amina mkuu au utakuwa baba wa ubatizo...Labda niwe mjomba lakini baba mlezi naogopa kuombwa Ada.
Mungu akusimamie mpendwa akupe haja ya moyo wako.