naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,431
Nitashukru pia maana wengine ata huo ubaba wa ubatizo umewanyima.amina mkuu au utakuwa baba wa ubatizo...
ila unajua majukumu ya baba wa ubatizoNitashukru pia maana wengine ata huo ubaba wa ubatizo umewanyima.
Mweeeeèila unajua majukumu ya baba wa ubatizo
hapana utakuwa tu baba wa ubatizo ili umlee mtoto wako kwa maadili mema ujomba wa mbali akiwa binti si ndo utavunja kabisa ujombaMweeeeè
Umeanza.
Basi naomba tu niwe mjomba wa mbalii
Asante sana nserekohbd kengeledoi.
Haya bwn naona umenikalia vibaya ngoja niupokee huo ubaba wa ubatizo labda siku moja naweza kuwa baba mzazi wa mdogo wake.hapana utakuwa tu baba wa ubatizo ili umlee mtoto wako kwa maadili mema ujomba wa mbali akiwa binti si ndo utavunja kabisa ujomba
Thanks SakayoHappy Birthday cutie
asante mkuu nitaku PM mambo yakiwa mazuriHaya bwn naona umenikalia vibaya ngoja niupokee huo ubaba wa ubatizo labda siku moja naweza kuwa baba mzazi wa mdogo wake.
Happy birthday mkuuHabari wakuu
Poleni na majukumu ya kazi, naandika uzi huu kwa kua ni siku yangu muhimu sana napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa uzima na afya njema mpaka leo.
Kwa wazazi wangu wapendwa napenda kuwashukuru kwa malezi yao bora toka nilipozaliwa mpaka umri huu.
Mwisho kabisa napenda kuwashukuru wakuu wa majukwaa yote, familia nzima ya Jamii Forum kwa upendo wenu, Karibuni sana kwa party jioni ya mwanafamilia mwenzenu.
Dah...Hongera sana...Mida si mrefu kuna biashara itafanyika....Wengine watachukua ng'ombe 100..wengine watachukua dem mmoja tuπππππππ
asante mkuuHappy birthday mkuu
Dah..Ila safi sana..ng,ombe 100 siyo wa kimchezomchezo....Kila akiwakumbuka tu ni kichapo ππππasante mkuu, sa hivi ni kuelewana tu ila kwa hizo ng'ombe 100 lazima nikazae watoto 10 ili afidie kabisa ng'ombe zakeππππππππ
Amina na naamini yatakua mazuri.asante mkuu nitaku PM mambo yakiwa mazuri
hahaaaaa ila mkuu nimeshaolewa maana ningekomaje na huu uchumi wetu.Dah..Ila safi sana..ng,ombe 100 siyo wa kimchezomchezo....Kila akiwakumbuka tu ni kichapo ππππ
Habari wakuu
Poleni na majukumu ya kazi, naandika uzi huu kwa kua ni siku yangu muhimu sana napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa uzima na afya njema mpaka leo.
Kwa wazazi wangu wapendwa napenda kuwashukuru kwa malezi yao bora toka nilipozaliwa mpaka umri huu.
Mwisho kabisa napenda kuwashukuru wakuu wa majukwaa yote, familia nzima ya Jamii Forum kwa upendo wenu, Karibuni sana kwa party jioni ya mwanafamilia mwenzenu.