Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Asante wakunyumbaNgoja beb aongeze mtaji ntakukumbuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante wakunyumbaNgoja beb aongeze mtaji ntakukumbuka
Mama jipange mm yakiletwa mapiem huwa nayahifadhi haraka sn...yale ya jana ninayo tena nimeweka kwny icloud kbs [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha shoo ..nitafute wa kunilea mie woiiiUkome shoga angu yameshapita hayo tunaendelea na ukurasa mwingine safari upate jitu likulee lenye mahela yake sio pugi marioo
Mwenzanguuuu...kiranga komooo
Hahahaha Mimi nimeshajipanga eti..hahaha..ila naomba kujua hayo unayohifadhi ya kazi gani?Mama jipange mm yakiletwa mapiem huwa nayahifadhi haraka sn...yale ya jana ninayo tena nimeweka kwny icloud kbs [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbukumbu muhimu jamani lile chuchu kama kweli la Mbiti basi mambo si mabaya
Hahahaha Mimi nimeshajipanga eti..hahaha..ila naomba kujua hayo unayohifadhi ya kazi gani?
Huo mpicha wako hapo leo..ndio muongozo wetu kwenye chama chetu hahaha kila mwanachama ataitumiaHahahahahaha..Shem lake umeuaaa
Hahahahaha shoo ..nitafute wa kunilea mie woiii
Kumbukumbu kwa yasiyo kuhusu jamaniKumbukumbu muhimu jamani lile chuchu kama kweli la Mbiti basi mambo si mabaya
Hahahaha Mimi nimeshajipanga eti..hahaha..ila naomba kujua hayo unayohifadhi ya kazi gani?
Kumbukumbu tu jamani
Kwani nyie mnatumaga kwa jamaa machuchu kwa kazi gani?!kishasema ana album nzima muwe makini mm natunza kumbukumbu zenu
Hahahaha uzuri sijawahi tuna machuchuKumbukumbu tu jamani
Kwani nyie mnatumaga kwa jamaa machuchu kwa kazi gani?!kishasema ana album nzima muwe makini mm natunza kumbukumbu zenu
Hahaha we jamaa bana..[emoji23] [emoji23] [emoji23] acha hizo mambo bana[emoji23]Kwahiyo Mbiti alimtongoza prezdaa?! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha ngoja niwakomoeHuo mpicha wako hapo leo..ndio muongozo wetu kwenye chama chetu hahaha kila mwanachama ataitumia
Hahahaha uzuri sijawahi tuna machuchu
Sawa mtunza kumbukumbu
Eti picha za kudownload...mimi najua yale machuchu ya Mbiti tu,sasa lile li-nandy nalo anataka kulikana?!
Hahahah..nalo neno shooTafuta wa kukulea mama ule maraha