[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukiwa huna hela utakula kwa macho na shape hiyo unaanzaje kumpa kitoto hakieleweki sura bayaa sura ngumu akuchafue bora awe handsome basi hata kama hana hela utamvumilia na sura yake vyote kakosa sura hana hela hana
Umeamka nazo eeh [emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Yaaani Masha Allah. Na rangi yake umeiona?
Yaani huyu Dada huyu!![emoji3][emoji16]Mimi namgawa!angekua mswazi kama Mimi!!
Hata kidogooo[emoji41][emoji41][emoji41]Hivi sifanananii eenh
Simuogop sikutaka kubishana naye upupu tu na sikutaka kuharibu uzi wa Dada ynah
Demiss unamuogopa pugi na ww ulimtumia uchi uko pm unamuogopa ni baba ako mzazi huyo ndio mana anakufanya mnyonge wake akikukuta sehemu anakuquote acha uwoga wa kijinga
Hata kidogooo[emoji41][emoji41][emoji41]
Rangi ya mtume nimeona mama. Kibonge mwenzangu kadamshiYaaani Masha Allah. Na rangi yake umeiona?
Oooh kumbe basi atanitambua akithubutu tu kuniqoute ajiandae kisaikolojiaAcha kumuogopa ogopa popote utakapokutana nae
Ujue hii sio mara moja toka celebrity uko anafatwa anakuwa mnyonge akifatwaWakunyumba unaniua ujue
Etiii!!![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji113][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sema kweli jamani mbona mm ni mswazi
Oooh kumbe basi atanitambua akithubutu tu kuniqoute ajiandae kisaikolojia
Etiii!!![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji113]
Besidei gelo wanamshambulia mista prezidenti huku
Alafu kibaya huyu pug mm nilkuwa simjui kabisa nashangaa alivyokuwa ananifata popote nikasema kumbe huwa ananifatilia labda nilikuwa kwenye list alafu kuna lipug lingine jaman nilisahau jana kulisema labda lipo kwenye mitihan na lenyewe kiuno 10 sjakuona jf kitambooo pugiiii nililisahau vipi?Ujue hii sio mara moja toka celebrity uko anafatwa anakuwa mnyonge akifatwa
uwiiiii tusameheane mdogo wangu ulizani hata niliuona huu uzi nisamehe bure tuJumapili tulivu yenye kaubaridi ka kunyapianyapia...hahahah
Baada ya kusubiri mualiko kwa muda mrefu nakutana na mkausho wa hatariii...hahahaha
Nikaona sio mbaya wacha nijitowe out kidogo ..lol!!
Mara paap!! Shem hazard cfc amenivutia waya (akaninon'goneza) eti lakini iwe siri!!!.[emoji15] [emoji15] ...nitaweza kweli na nilivyo na kiraruraru..hahahaha nimeshindwa kuvumilia bana....
Dada Hajar
Buraza sesten zakazaka
Shoga angu shunie
Kipenzi ukhuty
Mdogo angu demiss
Hata nyinyi pia mnanificha mlipo!!??sasa nasemaje nimeshajikoki nachukua boda nakuja mlipo fastaaaaa!!..View attachment 816051
Alafu kibaya huyu pug mm nilkuwa simjui kabisa nashangaa alivyokuwa ananifata popote nikasema kumbe huwa ananifatilia labda nilikuwa kwenye list alafu kuna lipug lingine jaman nilisahau jana kulisema labda lipo kwenye mitihan na lenyewe kiuno 10 sjakuona jf kitambooo pugiiii nililisahau vipi?