Birthday girl

Birthday girl

  • Thread starter Thread starter Deleted member 485868
  • Start date Start date
Ukiwa huna hela utakula kwa macho na shape hiyo unaanzaje kumpa kitoto hakieleweki sura bayaa sura ngumu akuchafue bora awe handsome basi hata kama hana hela utamvumilia na sura yake vyote kakosa sura hana hela hana
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ujue hii sio mara moja toka celebrity uko anafatwa anakuwa mnyonge akifatwa
Alafu kibaya huyu pug mm nilkuwa simjui kabisa nashangaa alivyokuwa ananifata popote nikasema kumbe huwa ananifatilia labda nilikuwa kwenye list alafu kuna lipug lingine jaman nilisahau jana kulisema labda lipo kwenye mitihan na lenyewe kiuno 10 sjakuona jf kitambooo pugiiii nililisahau vipi?
 
Jumapili tulivu yenye kaubaridi ka kunyapianyapia...hahahah

Baada ya kusubiri mualiko kwa muda mrefu nakutana na mkausho wa hatariii...hahahaha

Nikaona sio mbaya wacha nijitowe out kidogo ..lol!!
Mara paap!! Shem hazard cfc amenivutia waya (akaninon'goneza) eti lakini iwe siri!!!.[emoji15] [emoji15] ...nitaweza kweli na nilivyo na kiraruraru..hahahaha nimeshindwa kuvumilia bana....

Dada Hajar
Buraza sesten zakazaka
Shoga angu shunie
Kipenzi ukhuty
Mdogo angu demiss
Hata nyinyi pia mnanificha mlipo!!??sasa nasemaje nimeshajikoki nachukua boda nakuja mlipo fastaaaaa!!..View attachment 816051
uwiiiii tusameheane mdogo wangu ulizani hata niliuona huu uzi nisamehe bure tu
 
Kakuona mnyonge wake ndio mana alikuwa anakufatilia kila sehemu na kukuquote acha huo uwoga wa kiboya
Alafu kibaya huyu pug mm nilkuwa simjui kabisa nashangaa alivyokuwa ananifata popote nikasema kumbe huwa ananifatilia labda nilikuwa kwenye list alafu kuna lipug lingine jaman nilisahau jana kulisema labda lipo kwenye mitihan na lenyewe kiuno 10 sjakuona jf kitambooo pugiiii nililisahau vipi?
 
Back
Top Bottom