Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Sura chachuuuuHahahahahahahaha
Msura mchungu mchachuuu mzito kama futari ya magimbi
Nimecheka sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sura chachuuuuHahahahahahahaha
Msura mchungu mchachuuu mzito kama futari ya magimbi
Akiyaleta atapewa kichambo heavyYa pm yabaki ukouko nokia na we usilete habari za screenshot hapa
Haha..umeona sikio lakin
Hiiiiiiiihii[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaha...uvundo wa kiman'gati shoo..huhuhu
Hahahaah umeghairi kuona sikio?Naona hutaki basi mama
Nimeipokea mdogo wangu. Ila ulinoga jamaani hadi nikajikuta naiwazia hiyo boda boda ulopanda. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha..Dada ake heshima yako
Hahahaaa. Sijui yuko wapi jamaani lol.Kush sijamtia machoni ..hata sijui anazururia wapi
Mtakuja bebishana na majini eti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaa..shoooo sio kwa mkomesho huo..nimekoma mie
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nione tu mdogo wangu.Dada hajar. Nakuona nakuonaa
Mtakuja bebishana na majini eti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahaha Dada..ahsanteNimeipokea mdogo wangu. Ila ulinoga jamaani hadi nikajikuta naiwazia hiyo boda boda ulopanda. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mzima lakini?
HahahahahhaMtakuja bebishana na majini eti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Amepotea kama sumniHahahaaa. Sijui yuko wapi jamaani lol.
Nimeamka salama ndugu yangu sijui weye?
Akiyaleta atapewa kichambo heavy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] whaaaatMuache aandike anachojisikia Mimi si ndio nimempa ruhusa??? Achana na mimi
Mtakuja bebishana na majini eti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wacha umbea..hahaahaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] whaaaat
AhahahahahahahahahKumbe wakat ule unanikataa kwa nyodo kbs kuwa una wako humu kumbe ndio jamaa...[emoji23][emoji23][emoji15]
Kweli kila shetani na mbuyu wake
Umekosea penyeweee hahahahaNimemaaanisha hivi putin usinitoe kwenye reliii mbn hapo nimerekebisha
Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)