Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,138
kufanya huo upuuzi ni kusherekea kifo chako mna umri unakwenda hlf ety mtu anafurahia umri wake kumalizika sasa hpo kiakili tu ya kawaida mtu si anafurahia KIFONi kawaida kukuta reservation kwenye mabar, ma pub na maeneo mengi mashuhuri. Hawa wanaokutana as if ni jambo la maana Sana hivi mdg zangu wanachangia au Ndio mambo ya kifahari.
Naenda Zang maeneo nakuta Kuna reservation imewekwa[emoji3166][emoji140][emoji140]baada ya Muda naona mabox ya keki yakiingia. Ukiuliza ni nn eti birthday fac.ky. yaani unaacha kugharamia mambo ya maana birthday party????
Ukifuatikia Sana hukuti wazee wa miaka 37 au 40 take it from me ninyi madogo wa 30 achana na haya mambo, jichange ununue plot ujenge au Jenga pangisha nyumba yako upate pesa
Site Tano todate. My dear. Kawaida pesa haisubiriwi ijae. Unanua Kwa installmentWewe kwa kutokufanya birthday pesa iliyotakiwa kufanya birthday imenunua plot ngapi??
Basi nikutanabaishe tu wako wenye nyingi zaidi yako na basidei wanafanya hivyo wewe endelea kununua site maisha kila mtu anachagua vile ataishi.Site Tano todate. My dear. Kawaida pesa haisubiriwi ijae. Unanua Kwa installment