Mi nashangaa wana JF wanaJF hata kwenye shida hakuna rambirambi embu hili tuliangalie upyaDena mbona hukurudi kuleta feedback hivi member mwenzetu akipata matatizo kama hayo hatuwezi kutafuta njia ya rambirambi hata zikipitia kwa Max?
Majonzi bado yapoMakiwa yamepita