MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Wasalaam,
Kwa wale vijana wa kale yaani 1970s and early 1980S kuna hii sentiment ambayo mtu akiupara (akitupia pamba kwa lungha ya leo) au akiwa namna gani mwenye babes wakali (pisi) na ndinga kali basi anatupiwa neno la bishoo.
Utasikia yule kaka bishoo sana, sasa nimekaa hapa natafakari bishoo ina maana gani au it was meant to be (be-show), i am wondering?
Embu wajuzi watiritike tuwanufaishe na hawa walamba lips (vijana wa sasa)
Kwa wale vijana wa kale yaani 1970s and early 1980S kuna hii sentiment ambayo mtu akiupara (akitupia pamba kwa lungha ya leo) au akiwa namna gani mwenye babes wakali (pisi) na ndinga kali basi anatupiwa neno la bishoo.
Utasikia yule kaka bishoo sana, sasa nimekaa hapa natafakari bishoo ina maana gani au it was meant to be (be-show), i am wondering?
Embu wajuzi watiritike tuwanufaishe na hawa walamba lips (vijana wa sasa)