Bishoo wenu nje

Bishoo wenu nje

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Naamini kuanzia leo tutasikia kelele za FAIR PLAY baada ya kuchezewa rafu ya kawaida mcheza rafu Maarufu INONGA.

Nawakumbusha tu Watu wenu wanapenda mpira wa kimama mama. Tukiwaambia hamna fitness couch mnaona tunapiga kelele. Sasa tunaenda kuelewana,Huyo mwamba wenu nae ni suala la muda tu. Endeleeni kulalamika kwamba mnakamiwa. Kama hamtaki kuguswa kachezeni DRAFT.

Kelele zenu hazitasidia kitu mazoezi ni kila kitu.
 
Ile radu haiku hitaji uwepo wa kocha wa viungo ...ile rafu niya kumvunja mtu mguu
 
Naamini kuanzia leo tutasikia kelele za FAIR PLAY baada ya kuchezewa rafu ya kawaida mcheza rafu Maarufu INONGA.

Nawakumbusha tu Watu wenu wanapenda mpira wa kimama mama.Tukiwaambia hamna fitness couch mnaona tunapiga kelele.Sasa tunaenda kuelewana,Huyo mwamba wenu nae ni suala la muda tu.Endeleeni kulalamika kwamba mnakamiwa.Kama hamtaki kuguswa kachezeni DRAFT.

Kelele zenu hazitasidia kitu mazoezi ni kila kitu.
wewe mbelemwikonyumamwiko kwahiyo mnawatuma siyo!unavyofurahia utadhani wachezaji wa uto ni vyuma,kwani MAYELE SI ANACHEZA
 
Naamini kuanzia leo tutasikia kelele za FAIR PLAY baada ya kuchezewa rafu ya kawaida mcheza rafu Maarufu INONGA.

Nawakumbusha tu Watu wenu wanapenda mpira wa kimama mama.Tukiwaambia hamna fitness couch mnaona tunapiga kelele.Sasa tunaenda kuelewana,Huyo mwamba wenu nae ni suala la muda tu.Endeleeni kulalamika kwamba mnakamiwa.Kama hamtaki kuguswa kachezeni DRAFT.

Kelele zenu hazitasidia kitu mazoezi ni kila kitu.
Uzuri mpira wa Bongo kuimba kupokezana. Ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom