Bishop Gwajima kuweka mahojiano yake wazi kesho. Anadai amewafumba midomo waovu

Bishop Gwajima kuweka mahojiano yake wazi kesho. Anadai amewafumba midomo waovu

Hana unafiki!! Maswala ya warembo mbona ni mnafiki wa kupindukia??
 
Gwajiboy hataki unafiki kabisa Kama mbwai na iwe mbwai
Uzuri yeye tuhela twa mbogo alikuwa nato hata kabla ya kwenda Bungeni,hawa wakimfukuza Haina shida
Shida ni kwao wanaojipendekeza wasikoseshwe vihela vya mboga Kama alivyosema Tibaijuka.
Tulishamuelewa hatuchanjwi.
 
Gwajima amekuwepo kabla ya ubunge so hana cha kupoteza!
Ndivyo alivyowadanganya, angekimbilia siasa na kutoa ahadi za uwongo kabisa kwa wana-Kawe. Gwajima ana njaa kama Wanzania wote tulivyo na njaaa.
 
Ile mipasho aliyokuwa akiitoa kanisani kwake ndio mambo ya kiimani yale? akaenda mbali mpaka kumfukuza mtu kwenye ukoo wao ndio imani yenu hiyo?

Tumeaswa kujihadhari na manabii wa uongo.
mkuu, tazama muktadha basi nawewe basi usiitilie aibu jamii forum basi ionekane inakundi la watu aina yake, ficha uccm bwegewako
 
Ile mipasho aliyokuwa akiitoa kanisani kwake ndio mambo ya kiimani yale? akaenda mbali mpaka kumfukuza mtu kwenye ukoo wao ndio imani yenu hiyo?

Tumeaswa kujihadhari na manabii wa uongo.
Mi nashukuru kupitia hiyo unayoiita mipasho jpili ndo niliona clip video ya waziri wa afya na naibu wake wakielezea ubaya wa chanjo sikuwahi kuona!
 
Gwajima hana cha kupoteza ni magufuli tu alikua mvurugaji kama mpunga anao

Anawaumini zaidi 70 elf kwa sensa ya 2009/2010

Akiindika kitabu a katoa nakala akawauzia waumini wake hata 10000 elf piga calculation hapo


Gwajima wamalize hao maliza kabisa
 
Sasa kama ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu? Hayo mahojiano yanaanzaje kufika Kanisani kwake wakati hayo ni mambo ya kaisari? Gwajima anapenda mashindano yasiyokuwa na tija, Hakuna sababu yoyote ya kufanya hivyo.
 
Ile mipasho aliyokuwa akiitoa kanisani kwake ndio mambo ya kiimani yale? akaenda mbali mpaka kumfukuza mtu kwenye ukoo wao ndio imani yenu hiyo?

Tumeaswa kujihadhari na manabii wa uongo.
gwajima ni taperi mkubwa anawadanganya kondoo wake
 
Atatoleaje maelezo kanisani? Ni mahali patakatifu, pa kumwabudu Muumba. Siasa na dini vitenganishwe. Kesho pambana na dhana ya ufufuko na uzima.
 
Kama hakutaka masuala ya kanisani yazungumzwe Bungeni, anawezaje kuzungumza mambo ya Bunge kanisani? Aache double standards na usanii wake haraka! Kiukweli kuna mbinu nyingi za kujaza waumini na kuzoa sadaka.
 
Ile mipasho aliyokuwa akiitoa kanisani kwake ndio mambo ya kiimani yale? akaenda mbali mpaka kumfukuza mtu kwenye ukoo wao ndio imani yenu hiyo?

Tumeaswa kujihadhari na manabii wa uongo.
Mambo ya Ngoswe yanakuhusu nini wewe?
 
Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.

Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!

Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
Huyu jamaa ni uozo wa kupitiliza.
Ametupotezea imani ya maendeleo Kawe.
 
Back
Top Bottom