BISHOP KAKOBE::Tanganyika Huru Lazima Ipatikane

Somo katika Ibada hiyo Kuu ya Pasaka, lilikuwa na kichwa,"JE, NI HALALI KUIDAI TANGANYIKA KATIKA MPANGO WA MUNGU?" Alianza kwa kusema,"Kabla sijatoa ufafanuzi, niseme kwanza kifupi bila kuumauma maneno, NDIYO NI HALALI, NA NI MPANGO WA MUNGU, kwa herufi kubwa." Akasema, yeye hatajenga hoja kwa ushabiki wa kisiasa, bali atajenga hoja kwa Neno la Mungu, ambalo ndilo linaloelezea mpango au mapenzi ya Mungu katika mambo yote.
 
hawa ndio viongozi wa dini , tuwatakao sio kama Mtetemela, Wainglikana umetufedhehesha pumb....a..v..u
 
Aliendelea kusema,"Mungu aliyeumba ulimwengu, dunia ni mali yake(ZABURI 24:1). Akaeleza kwamba hatuna budi kufahamu kwamba, Mungu mwenyewe ndiye aliyefanya nchi au mataifa yapate kuwepo, na yeye ndiye aliyeweka mipaka ya nchi hizo. Akanukuu ZABURI 74:16-17,"Mchana ni wako, usiku nao ni wako, Ndiwe uliyeufanya mwanga na jua. WEWE ULIIWEKA MIPAKA YOTE YA DUNIA, Kaskazi na kusi Wewe ulizitengeneza."
 

ni -------- pekee anayeweza kuidai tanganyika ya wakoloni na kuibeza Tanzania yetu
 

audio Hii hapa https://www.dropbox.com/s/hzqyfz0tddrw0fv/NU;JE KUIDAI TANGANYIKA YETU NI DHAMBI 20.04.2014.amr
 
hawa ndio viongozi wa dini , tuwatakao sio kama Mtetemela, Wainglikana umetufedhehesha pumb....a..v..u

Aiyaa ametukana -umeenda mbali sana ndugu -wakristo Yesu tunamuombea pepo mchafu amtoke

kakobe ni tapeli sana
 
Akaendelea kunukuu andiko la MATENDO YA MITUME 17:24,26,"Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi (KJV - earth, dunia), hakai katika hekalu zilizojengwa kwa mikono. NAYE ALIFANYA KILA TAIFA LA WANADAMU kutoka katika mmoja, wakae juu ya uso wa nchi (dunia) yote, AKIISHA KUWAWEKEA nyakati alizoziamuru tangu zamani, na MIPAKA YA MAKAZI YAO."
 
huyu kakobe hana maana yoyote...ndio maana wachungaji wake walimshtaki kwa kula sadaka
 
....i wish ningekuwepo ibadani kwake daah...rikaaakkaaaaa shandarabokkkaaa....!!!???? teh teh...
 
Safi kakobe tanganyika hiyooooo


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…