Mkuu imeshashuka,,,, habar ya mtoa Uzi ulikua ya wiki ilopita ,ila Leo imeporomoka Mpaka kufikia $6190Na keshao inaweza ikarudi $20,000 au ikaenda $1000. Hii ni kamali tu, chezea ukijua hilo.
leo thamani yake imeporomoka balaa....yaani jana rate yake kati ya tshs na bitcoin ilikuwa 1 bitcoin= 21 tshs milions na ushee hv ...ila leo thamani yake ni 1 bitcoin= tsh 15,990,501 ni anguko kubwa sana la bitcoin ikumbukwe kuwa mwezi kama mmoja uliopita thamani ya bitcoin ilifikia 1bitcoin = tshs 45 millions
My take: wenye bitcoins uzeni fasta hii crypto-currency inaenda kufa hata mshindani wake wa karibu ethereum naye ameporoka ingawa yeye hajaathirika sana kama bitcoin
Ukiuza unapewa nini PESA ZA KAWAIDA au BITCOINS ??leo thamani yake imeporomoka balaa....yaani jana rate yake kati ya tshs na bitcoin ilikuwa 1 bitcoin= 21 tshs milions na ushee hv ...ila leo thamani yake ni 1 bitcoin= tsh 15,990,501 ni anguko kubwa sana la bitcoin ikumbukwe kuwa mwezi kama mmoja uliopita thamani ya bitcoin ilifikia 1bitcoin = tshs 45 millions
My take: wenye bitcoins uzeni fasta hii crypto-currency inaenda kufa hata mshindani wake wa karibu ethereum naye ameporoka ingawa yeye hajaathirika sana kama bitcoin
itapanda tu sisi kama wataalam wa Forex hyo Pattern tunaita Dinosaur.
Daaaaaahhh Umekwiva aseee
Sio kidogo eeeh
hyo currency haipenda tena ndo inaenda kufa kibudu labda ethereum ndo itapanda na ndio sehemu sahihi ya kuwekeza kwa future
hii iko salamahyo currency haipenda tena ndo inaenda kufa kibudu labda ethereum ndo itapanda na ndio sehemu sahihi ya kuwekeza kwa future