Bitcon Itaua Watu

Bitcon Itaua Watu

Na keshao inaweza ikarudi $20,000 au ikaenda $1000. Hii ni kamali tu, chezea ukijua hilo.
posibillity ya kwenda juu ni kidogo sn kama umefutilia vzr toka imeanza kuporoka kuna kipindi inakomaa kupanda juu lkn kadri inavyojaribu kung'ang'aniza kupanda ndivyo speed kushuka chini inavyokuja kuwa kali
 
Mpaka muda huu navyoandika Thaman ya Bitcoin imeporomoka mpaka kufikia $ 6190 .. Hii nibaada ya Uchina kusema inapanga kuzuia tharafu hii !!.
duuuh hili piga takatifu ukisikia mtu alikuwa tajiri kaamka fukara ndio hii
 
Sasa wakiuza watamuuzia nani, wakati kila mtu anauza, nani atabaki nazo

[emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa!
Sijui Nani atakuwa tayari kuangukiwa na jumba bovu! [emoji14][emoji14][emoji14]
 
Wacha ishuke mpaka $500 ikistabilize tu ,wajanja wataingia kuanza kununua tena then itapanda weeee halafu itashuka tena.
 
hyo currency haipenda tena ndo inaenda kufa kibudu labda ethereum ndo itapanda na ndio sehemu sahihi ya kuwekeza kwa future
Kakwambia nani haitopanda?? we hujaona hata mtikiso ulio tokea kwenye stock market???


Hakuna kinacho kufa, hayo makatazo yote unayo yaona n propaganda za kibiaashara, huko dunian ya kwanza wanajua wanacho kifanya, wao wao ndio watakua wa kwanza kuinunua, na hii fear iliyoko miongon mwa watu sasa hv hao hao ndio wataiondoa kwa kutumia vyombo vya habari, itapanda mara dufu
 
a803f2ca755a1260340277c27b3e5d6a.jpg
itapanda tu sisi kama wataalam wa Forex hyo Pattern tunaita Dinosaur.
Analysis tuu kwenye hiyo graph insnesha ulivyo mbahatishaji(gambler) halafu unajiita mtaalamu? Au mtaalam wa kuchora midoli!
 
Sasa wakiuza watamuuzia nani, wakati kila mtu anauza, nani atabaki nazo
Bitcoin ya havyo sana nakumbuka two years back nilikuwa najihusisha nayo ila issue ni kuwa muuzaji anataka akuuzie kwa bei kubwa na kimbembe kinakuja pale wewe ukitaka kuuza wateja wanataka uwauzie kwa bei ndogo
 
Think you had a rough day in crypto..

Mark Zuckerberg lost $3.6 billion today.

Jeff Bezos lost $3.2 billion.

Google's founders lost $2.3 billion, each.

Bill Gates lost $2.2 billion.

(Source: Bloomberg)
Aise Duuuu mpunga mrefu lakini kwenye biashara kuna faida na hasara.
 
Analysis tuu kwenye hiyo graph insnesha ulivyo mbahatishaji(gambler) halafu unajiita mtaalamu? Au mtaalam wa kuchora midoli!

Ukiulizwa hata Japan Candlestick ni nin utatokwa povu [emoji3][emoji3][emoji3] sie wenzio tunaitrade against USD(BTCUSD) tunatengeneza hela we unaita gambler kasome Forex utaelewa nimechora nini hapo
 
Juzi Lloyds bank UK wamekataa wateja kutumia credit cards zao kwa kununua Bitcoin na zingine zinafuata
 
Ukiulizwa hata Japan Candlestick ni nin utatokwa povu [emoji3][emoji3][emoji3] sie wenzio tunaitrade against USD(BTCUSD) tunatengeneza hela we unaita gambler kasome Forex utaelewa nimechora nini hapo
watu wengine kujibizana nao ni unnecessary waste of my valuable calories, hopeless kabisa.
 
Back
Top Bottom