Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Sasa sio kutangazia watu hii mikwala. Tunataka tu kusikia nani kawajibishwa na mashine ifanye kazi. Sio kutangaza haya mambo alafu wahusika wanadunda tu. Wasifanye siasa na umemeBiteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO
Menejimenti ya TANESCO tunatakiwa tupate viongozi wanaojua tatizo la umeme.
View attachment 2814684
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Wapeleke upumbavu wao huko. Nchi inaongozwa na maneno ya vitisho mpaka tumbuli wameshatudharau.Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO
Menejimenti ya TANESCO tunatakiwa tupate viongozi wanaojua tatizo la umeme.
View attachment 2814684
TATIZO NI ROSTAM AZIZI HUYU ASIPO ULIWA KAMWE HII NCHI HATUWEZI TOBOA...NILAZIMA TUTESEKE ....GENGE LA WAMILIKI WA GESI NDIYO WANAO KWAMISHA HII NCHIBiteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO
Menejimenti ya TANESCO tunatakiwa tupate viongozi wanaojua tatizo la umeme.
View attachment 2814684
Wakati wa ujamaa na kujitegemea,rostam alikua kijana mdogo akizurura mbugani igunga,lakini tulivaa virakaTATIZO NI ROSTAM AZIZI HUYU ASIPO ULIWA KAMWE HII NCHI HATUWEZI TOBOA...NILAZIMA TUTESEKE ....GENGE LA WAMILIKI WA GESI NDIYO WANAO KWAMISHA HII NCHI
Sasa January Makamba alikuwa ana karabati nini hiyo miaka mitatu?Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO
Menejimenti ya TANESCO tunatakiwa tupate viongozi wanaojua tatizo la umeme.
View attachment 2814684
Bado yuko very soft sana ni kama hata mwenyewe hajiaminiBiteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO
Menejimenti ya TANESCO tunatakiwa tupate viongozi wanaojua tatizo la umeme.
View attachment 2814684
Kuna jiz lili wahi kusema umeme ulikuwa unakatika baada ya kifo cha jembe eti kwasababu mitambo ilikuwa haifanyiwi matengenezo, fU#& sk.Na kuna mtu alikuwa anapewa bajeti ya matengenezo hadi wanazima Umeme ili wafanye matengenezo!
Mwizi ni mwizi tu.
Hata wazungu kipindi hicho wao pia walikuwa awana smartphone nk hivyo tumia akili ...sisi tunazungumzia waujumu uchumi nyerere kapewa nchi mbovu na mkoloni ....kutoka dar hadi morogoro ni sawa sawa na kutoka dar hadi Kinshasa...watu walikuwa hawana elimu yoyote ...zaidi ya asilimia 80 walikuwa awajui shule ni nini baadhi tu walifika darasa la 4Wakati wa ujamaa na kujitegemea,rostam alikua kijana mdogo akizurura mbugani igunga,lakini tulivaa viraka
Hii inahitaji nchi iwe na wazalendo wa kweli.TATIZO NI ROSTAM AZIZI HUYU ASIPO ULIWA KAMWE HII NCHI HATUWEZI TOBOA...NILAZIMA TUTESEKE ....GENGE LA WAMILIKI WA GESI NDIYO WANAO KWAMISHA HII NCHI