Pre GE2025 Biteko: Msing'oe bendera ya chama chochote. Bendera hazipigi kura

Pre GE2025 Biteko: Msing'oe bendera ya chama chochote. Bendera hazipigi kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Msing'oe bendera ya chama chochote, bendera haipigi kura, ushinde ubaya kwa wema - Dkt. Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto biteko akizungumza leo juni 6, 2024 katika mkutano wa hadhara jimboni bukombe mkoani Geita.
 
Wakilewa Wanzuki wanazing'oa Bendera za CCM kwa hasira, msitusingizie CHADEMA.
 
Waziri wa Nishati wakati watu bado umeme ni gharama na sio rafiki kutuletea habari za Bendera ni kupoteza rasilimali muda.....
 

Msing'oe bendera ya chama chochote , bendera haipigi kura, ushinde ubaya kwa wema - Dkt. Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto biteko akizungumza leo juni 6, 2024 katika mkutano wa hadhara jimboni bukombe mkoani Geita.
2183704_IMG_1183.jpg


Hawa walichukuliwa hatua gani?
 
Huyu jamaa Anakitu kichwani, kama hata yumbishwa namuona mbali kwenye uwanja wa siasa. 🤝
Safi sana👋👋

Hao jamaa zetu wa Sisiem, ndiyo huwa wanapoona viongozi wao wa Sisiem, wanakuja kutembelea sehemu fulani, huwa wanang'oa bendera za Chadema, utadhani Wana "allergy" na hizo bendera!😅
 
Safi sana👋👋

Hao jamaa zetu wa Sisiem, ndiyo huwa wanapoona viongozi wao wa Sisiem, wanakuja kutembelea sehemu fulani, huwa wanang'oa bendera za Chadema, utadhani Wana "allergy" na hizo bendera!😅
😄😄, Magugu yakizidi kwenye shamba la mpunga, inatakiwa kung'olewa haraka iwezekanavyo.
 
Naona huyu mwenye cheo-jina (cheo kisicho na majukumu wala hakitambuliwi na katiba), amepaniki
 
Back
Top Bottom