Timu yangu mbona ipo fit tu Jan ikifika tutajua mwelekeo wa kila timu japo naiona The Blues iliwa na nafasi kubwa kuchukua EPL maana jamaa defence yenu ni noma mna "clean sheest 10"Haha mkuu nakustahi maana najua team yako ilivyo, nasubiria hiyo zawadi
Shukrani mkuuMara ya kwanza nilikuwa simkubali bitoz Nakumbuka kipindi anaingia jf alikuwa anapakubali Sana maskani za kwao huko mabibo baadae amekuja kuanzisha hii kitu makapuku Kwa kweli imeshika wengi.. Japo Sijawahi kuingia na sijui huwa wanapiga story zipi Lakini wana peana Sana support.. Respect kwako bitoz.. Sasa hivi wewe sio upcoming tena ni bonge LA star kijana wangu
Inategemea sangoma kumbeTutamaliza tu ondoa hofu ...nilienda kwa sangoma pale Beach Kimba kanihakikishia tutamaliza mwaka km kawa ndio maana nimetoa thread kabisa sijakurupuka
Hahahahaha bitoz kumbe ligi na monkey mmarekani bado Lina endelea.. Asee jf hii thread ya makapuku imefanya jf izidi kunoga.. Sasa ni poa.. Nakuja makapuku bitoz Naomba unipokee CEO WA makapuku na waandamiz wako kina bally na jimena.. Soon nakujaShukrani mkuu
Kapuku Forum ndo thread iliyobamba kuliko zote tangu JF ianzishwe
*Thread iliyofikisha views 1m + ndani kipindi kifupi
*Thread yenye replies nyingi(inashikilia rekodi) japo haijatimiza hata mwaka mmoja
*Thread pekee ambayo ipo active daily(hakuna siku ambayo haijachangiwa)
*Thread pekee ambayo haichoshi maana swaga zinabadilikabadilika
Halafu mkuu mimi siyo super star km kina Ngedele bali mimi ni kapuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pamojaaa sana kapuku mwenzangu japo ulinitangulia ila nimejifunza mengii kupitia thread zako mkuuWakuu nafikiri mpo poa
Naona zimebaki siku chache tumalize mwaka
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kuwashukuru wote walionipa sapoti hapa JF kuanzia January to December,kwangu huu ni mwaka super tofauti na 2015(mwaka niliojiunga)
Shukrani za pekee ziwaendee Jimena na Bailly5/Th Name ....hawa ndo maswahiba wangu wa mwanzo kabisa humu JF walinipokea kishikaji vilevile kwenye thread zangu nyingi walikuwa wachangiaji wakubwa na nikagundua swaga zetu zinafanana kuanzia timu tunazoshabikia hadi vituko vyetu, ndio maana nikashirikiana nao kuanzisha uzi uliokuja kuporomosha ufalme wa wakongwe chit chat wa Makapuku Forum.....nawashukuru sana
Pia namshukuru sana Mussolin5 ....Nimejifunza mengi kutoka kwa Mussolin( huwa namwita dikteta) jamaa alikuwa anaporomosha nondo zilizoshiba kupitia "Leo ktk Historia*" kwenye thread ya Makapuku jamaa kwa ishu za historia hana mpinzani
Makapuku wote kina Jonax(kikofa),QUIGLEY,Shululu(nasikia ni kaka ake Lulu) na wengine wengi (maanashindwa kuwataja wrote)......Japo QUIGLEY mwanzoni ruliluwa tunakwaruzana kinoma lakini jamaa ni mvumilivu sana na hadi leo tupo peace
Nawashukuru pia members wote hapa JF pia nawashukuru na haters maana najifunza mengi kupitia kwenu.....maana wapo waliokazana kunichallennge
Nawakubali wote japo kuna baadhi ya wakongwe ambao nimegeuka kuwa adui yao mkubwa sababu ya kuanzisha vuguvugu la Makapuku,lakini sijali sana maana siwezi kupendwa na wote
Nawashukuru wote
Merry X & Happy New Year
The Bitoz
Hahahaha karibu sana ndege JOHNHahahahaha bitoz kumbe ligi na monkey mmarekani bado Lina endelea.. Asee jf hii thread ya makapuku imefanya jf izidi kunoga.. Sasa ni poa.. Nakuja makapuku bitoz Naomba unipokee CEO WA makapuku na waandamiz wako kina bally na jimena.. Soon nakuja
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji115] chagua mwenyeweulitaka nimtegemee Faru John?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngedere Ungabure boya sana ana nyodo tangu nikiwa mgeni ananitusi tu.....anaboaHahahahaha bitoz kumbe ligi na monkey mmarekani bado Lina endelea.. Asee jf hii thread ya makapuku imefanya jf izidi kunoga.. Sasa ni poa.. Nakuja makapuku bitoz Naomba unipokee CEO WA makapuku na waandamiz wako kina bally na jimena.. Soon nakuja
Kumbe pm za JF huwa zinapata shida kweli kweli!![emoji1]Yeah na simuachi
Ulitaka nitembee na vikongwe nini
acha wivu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
PamojaaaaaUsijali mkuu sisi uswahiba na sapoti mwanzo mwinzo
Niambie Bailly