Bitoz: Namaliza mwaka vizuri !!!

Bitoz: Namaliza mwaka vizuri !!!

Mara ya kwanza nilikuwa simkubali bitoz Nakumbuka kipindi anaingia jf alikuwa anapakubali Sana maskani za kwao huko mabibo baadae amekuja kuanzisha hii kitu makapuku Kwa kweli imeshika wengi.. Japo Sijawahi kuingia na sijui huwa wanapiga story zipi Lakini wana peana Sana support.. Respect kwako bitoz.. Sasa hivi wewe sio upcoming tena ni bonge LA star kijana wangu
 
Mara ya kwanza nilikuwa simkubali bitoz Nakumbuka kipindi anaingia jf alikuwa anapakubali Sana maskani za kwao huko mabibo baadae amekuja kuanzisha hii kitu makapuku Kwa kweli imeshika wengi.. Japo Sijawahi kuingia na sijui huwa wanapiga story zipi Lakini wana peana Sana support.. Respect kwako bitoz.. Sasa hivi wewe sio upcoming tena ni bonge LA star kijana wangu
Shukrani mkuu

Kapuku Forum ndo thread iliyobamba kuliko zote tangu JF ianzishwe
*Thread iliyofikisha views 1m + ndani kipindi kifupi
*Thread yenye replies nyingi(inashikilia rekodi) japo haijatimiza hata mwaka mmoja
*Thread pekee ambayo ipo active daily(hakuna siku ambayo haijachangiwa)
*Thread pekee ambayo haichoshi maana swaga zinabadilikabadilika

Halafu mkuu mimi siyo super star km kina Ngedele bali mimi ni kapuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Shukrani mkuu

Kapuku Forum ndo thread iliyobamba kuliko zote tangu JF ianzishwe
*Thread iliyofikisha views 1m + ndani kipindi kifupi
*Thread yenye replies nyingi(inashikilia rekodi) japo haijatimiza hata mwaka mmoja
*Thread pekee ambayo ipo active daily(hakuna siku ambayo haijachangiwa)
*Thread pekee ambayo haichoshi maana swaga zinabadilikabadilika

Halafu mkuu mimi siyo super star km kina Ngedele bali mimi ni kapuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahaha bitoz kumbe ligi na monkey mmarekani bado Lina endelea.. Asee jf hii thread ya makapuku imefanya jf izidi kunoga.. Sasa ni poa.. Nakuja makapuku bitoz Naomba unipokee CEO WA makapuku na waandamiz wako kina bally na jimena.. Soon nakuja
 
Wakuu nafikiri mpo poa
Naona zimebaki siku chache tumalize mwaka
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kuwashukuru wote walionipa sapoti hapa JF kuanzia January to December,kwangu huu ni mwaka super tofauti na 2015(mwaka niliojiunga)

Shukrani za pekee ziwaendee Jimena na Bailly5/Th Name ....hawa ndo maswahiba wangu wa mwanzo kabisa humu JF walinipokea kishikaji vilevile kwenye thread zangu nyingi walikuwa wachangiaji wakubwa na nikagundua swaga zetu zinafanana kuanzia timu tunazoshabikia hadi vituko vyetu, ndio maana nikashirikiana nao kuanzisha uzi uliokuja kuporomosha ufalme wa wakongwe chit chat wa Makapuku Forum.....nawashukuru sana

Pia namshukuru sana Mussolin5 ....Nimejifunza mengi kutoka kwa Mussolin( huwa namwita dikteta) jamaa alikuwa anaporomosha nondo zilizoshiba kupitia "Leo ktk Historia*" kwenye thread ya Makapuku jamaa kwa ishu za historia hana mpinzani

Makapuku wote kina Jonax(kikofa),QUIGLEY,Shululu(nasikia ni kaka ake Lulu) na wengine wengi (maanashindwa kuwataja wrote)......Japo QUIGLEY mwanzoni ruliluwa tunakwaruzana kinoma lakini jamaa ni mvumilivu sana na hadi leo tupo peace

Nawashukuru pia members wote hapa JF pia nawashukuru na haters maana najifunza mengi kupitia kwenu.....maana wapo waliokazana kunichallennge
Nawakubali wote japo kuna baadhi ya wakongwe ambao nimegeuka kuwa adui yao mkubwa sababu ya kuanzisha vuguvugu la Makapuku,lakini sijali sana maana siwezi kupendwa na wote

Nawashukuru wote
Merry X & Happy New Year


The Bitoz
Pamojaaa sana kapuku mwenzangu japo ulinitangulia ila nimejifunza mengii kupitia thread zako mkuu
 
Inategemea sangoma kumbe
7b1f2b7fb200c209ecd04d07d7749db8.jpg
ulitaka nimtegemee Faru John?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahaha bitoz kumbe ligi na monkey mmarekani bado Lina endelea.. Asee jf hii thread ya makapuku imefanya jf izidi kunoga.. Sasa ni poa.. Nakuja makapuku bitoz Naomba unipokee CEO WA makapuku na waandamiz wako kina bally na jimena.. Soon nakuja
Ngedere Ungabure boya sana ana nyodo tangu nikiwa mgeni ananitusi tu.....anaboa
Usishangae sana eti anakaa porini USA
USA[emoji117] United Sisters of Anduje
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom