Mr Discount
Member
- Oct 16, 2016
- 83
- 105
- Thread starter
-
- #21
Kauli za kujitia moyo[emoji16]4 years together dah, zile memories hazijawah jirudia kwa kenge yyte yule. nilijua tunaoana mbwa yule mpaka alivyoanza umalaya dah.
Sema nn tunasemaga haikupangwa ati.
[emoji23][emoji23]niliachana nae, sa ivi anauza K site ya exotictz uko
Watu walivyowengi ulimwenguni,mi kukaa kumfikiria mtu tuliyetengana naona kama nampa bichwa hata kama hanioni.mxuuw
Sasa kwanini uachane na mtu unayempenda?unakubali vipi yaani?si unatumia mbinu za kijeshi msiachane😀😀Hivi ushawahi kuachana na mtu ambaye bado unampenda? Then unaanza kukumbuka zile memories ambazo mmekua pamoja. Unakuta memories zinakuumiza lakini at the same time unaenjoy [emoji23]
Imeshawahi kukutokea situation kama hii (bittersweet situation)?
Dah mkuu labda utupe izo mbinu maana[emoji119][emoji28]Sasa kwanini uachane na mtu unayempenda?unakubali vipi yaani?si unatumia mbinu za kijeshi msiachane[emoji3][emoji3]
Huyo kipori ulifumbwa macho jirani?Tunaachana ili tupate mwingine aliye bora zaidi...
Ishu ni pale unapomtosa 'demu' kisu halafu unakuja angukia kwa kipori...
---excuse my language---
Huyo kipori ulifumbwa macho jirani?
🤣🤣🤣
Ama ulimchukua sokoni ukabambikwa kama nyanya mbovu.
🤭🤭🤭🤭🤫🤫🤫🤫Sorry jirani yangu kipenzi 🤷🏿♀️🤷🏿♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Ndo maana tunakaaga halafu tunacheka sana from nowhere yaani.Hahah huwa inatokea jirani...
Yaani ukiwa kabisa na akili timamu unajipata umeruka jivu then waenda kanyaga moto...
[emoji28][emoji28]Sawa na kutapika na kuanza kulamba na kumeza matapishi!
Kumpata mwingine ni jambo moja lakini kumpata wa kufanana naye nacho ni kipengele.Heee [emoji3][emoji3][emoji3] pole utampata mwingine
Usimwombee ivo mkuu[emoji26]5 anh a half years was not a joke, namchukia sana kwasababu nampenda sana,am depressed,may God curse her
I think it's not your fault that you havent found someone better yet.Jamanii 2 years has passed,sija move on kabisaa,mwenzangu kashapata na mtoto,Mimi nakwama wapi?
Hapo kwenye truth ndo panapoumiza,2 years no better person,so should I wait more,or it is time to settle for lessI think it's not your fault that you havent found someone better yet.
Truth is, no guarantee that you will find that better person; hope you will, just dont look for your X in the guys you meet/date.
Mhm hapa umetudanganya live kabisa...au wee hujapata ije njemba inatoa show show lakini hana mbele wa nyuma🤣🤣🤣🤣🤣Watu walivyowengi ulimwenguni,mi kukaa kumfikiria mtu tuliyetengana naona kama nampa bichwa hata kama hanioni.mxuuw
Mhm wee kweli pisi kali ama hiyo picha ya mwanamke mwengine? Sijawahi ona pisi kali iki settle for lessHapo kwenye truth ndo panapoumiza,2 years no better person,so should I wait more,or it is time to settle for less
Mhm wee kweli pisi kali ama hiyo picha ya mwanamke mwengine? Sijawahi ona pisi kali iki settle for less