But u just didU don't deserve my replywarembo wa dodoma
habari zenu mzabzab nimetua capital city leo....sasa wenyeji nilikuwa naomba mnipe directions za wapi nitapata dada poa wa ukweli na average price inakuwa bei ganiwww.jamiiforums.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But u just didU don't deserve my replywarembo wa dodoma
habari zenu mzabzab nimetua capital city leo....sasa wenyeji nilikuwa naomba mnipe directions za wapi nitapata dada poa wa ukweli na average price inakuwa bei ganiwww.jamiiforums.com
No one is perfect, if you can accept their weaknesses and live with them comfortably, then settle for less.Hapo kwenye truth ndo panapoumiza,2 years no better person,so should I wait more,or it is time to settle for less
Thank youNo one is perfect, if you can accept their weaknesses and live with them comfortably, then settle for less.
Who knows..! less might be more someday. People change for the better just as they would for the worse.
Mwenye maamuzi ni wewe, unajijua na unajua vitu gani unavimudu na usivyoweza kuvumilia.
Sijamwotea mkuuMhm hapa umetudanganya live kabisa...au wee hujapata ije njemba inatoa show show lakini hana mbele wa nyuma🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee mbona unachochea[emoji23]Kuna haja ya kumuita bwana smart911!?
dah pole...ssasa inabidi umuotee ili ndio upate raha ya maishaSijamwotea mkuu
Why should you settle for less, no way!Hapo kwenye truth ndo panapoumiza,2 years no better person,so should I wait more,or it is time to settle for less
Mzee mtoto alishika simu [emoji23][emoji1787]Mzee mbona unachochea[emoji23]
ningekua mwandishi mzuri ningeandika thread vijana wenzangu wajifunze kupitia yaliyonikuta. nilifikia nae hatua ya kufunga ndoa,wakati naandaa mahari binti alianza kubadilika akaanza kuweka demands kubwa zaidi ya kipato changu,alianza kuforce nipange chumba na seble na anaelewa kipato changu kidogo,tulibishana sana kuhusu hilo suala hatimaye akaniambia nifanye maamuzi niyatakayo ila yeye hayupo tayari kuishi chumba kimoja,nikaamua tu kusitisha ndoaUsimwombee ivo mkuu[emoji26]
We niambie tu, wala sitovimba kichwa.Dah nakumbuka sana sweet memories, ila muache atajisifia sana akijua nammiss shenzi....😛
Mmh sitaki utajihisi nakumiss sana fyuu 😂We niambie tu, wala sitovimba kichwa.
Duh pole sana mkuuningekua mwandishi mzuri ningeandika thread vijana wenzangu wajifunze kupitia yaliyonikuta. nilifikia nae hatua ya kufunga ndoa,wakati naandaa mahari binti alianza kubadilika akaanza kuweka demands kubwa zaidi ya kipato changu,alianza kuforce nipange chumba na seble na anaelewa kipato changu kidogo,tulibishana sana kuhusu hilo suala hatimaye akaniambia nifanye maamuzi niyatakayo ila yeye hayupo tayari kuishi chumba kimoja,nikaamua tu kusitisha ndoa
asante bro,kuna muda natamani niingie kwenye akili yake nibadili msimamo wakeDuh pole sana mkuu
Mkuu usiseme'ivoo, kunakutoswa hata kama unampenda.Kama nampenda simuachi ng'o
Kweli hizi ni bittersweet memories, endelea kukomaa hivyo hivyo maana hata mimi nakumiss ila nimekaza kigumu. 😂😂Mmh sitaki utajihisi nakumiss sana fyuu 😂
Nimecheka balaaaMkuu usiseme'ivoo, kunakutoswa hata kama unampenda.
Na huwa daima 'balonce' ya penzi haipo hapa duniani.
Ukipenda sanaaa, jua kwenye mizani ya upendo kwa huyo unayempenda ipo chini na ndiyo mateso yanapoanzia.
Na ukiona mtu anaingia anga zako haumpendi, jua huyo 'kafa kaoza' juu yako.
Formula hii ipo kimfumo na huwa siielewi kwakweli.
Tuseme tu kwamba kwenye mambo haya shetwani naye huwa kajibanza pembeni akivizia kuharibu!
Nyuma ya maandishi yako kwa sisi tuliosoma psychology tunaona kabisaa kuna ka maumivu fulani hivi bado unacho sema unajizuia kukubali🤣🤣.....yaani bado una kachembe ka kukumbuka good memories🤣🤣🤣....ni Mimi mwana psychology.Raha nazopewa kwa sasa huko nilikotoka nilikuwa jehanamu, hizo bittersweet zitokee wapi,, Asante Mungu kunitolea roho ya ung'ang'anizi, hata wazo tu naonaga najidhalilisha
Jomooni sio vizuri aisee,njoo basi nikusaidie ku move mamii eeeh...nitakusogeza hata ka hatua kamoja😁😁😁😁....zee la kufaulisha hapa.Jamanii 2 years has passed,sija move on kabisaa,mwenzangu kashapata na mtoto,Mimi nakwama wapi?