Black Americans na Kubaka

Anguko la wanaume siku zote ni mwanmke.uishakuwa juu epuka wanawake wasiofaaa. Imeandikwa hadi kwenye biblia. Watu wakitaka kuluangusha watakutumia mwanamke na badae huyo mwanamke atatumiwa kukuangusha. Akina tiger woods charie sheen bill.cosby... ukiwa na influence wanwake wanajileta tu...aise kaaa mbali sio kwamba wanakupenda ila wanataka kitu kwako..ulivokuwa maskini walikuwa wapi?ndo wapo tunapofeli.... wenzetu wazee wa zamani wakipata vijihela kidogo wanakimbilia kuoa na kama wewe kijana ukifanikiwa kidogo wanakukimbilia kulushauri.oa..baki na mke wako na familia...anguko la mwanaume ni mwanamke
 
Watu weusi ni Wajinga wajinga tu siku zote.

Hata umaarufu walionao baadhi ya watu weusi unatokana na kuiga mambo kwa wazungu.

Ndio maana watu weusi sio wagunduzi wala waasisi wa mambo ya kuukomboa au kuusaidia ulimwengu.

Wengi ni Wajinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au aibu aliyoipata Rick Ross dhidi ya Mark Zuckerberg.. !!!

Watu weusi ni walow standards ila wakitokea wachache wa kupanda profile bado wanakuwa Malimbukeni.
Ivi mleta mada unawajua watu wenye ngozi nyeusi au unawaskia tu, hapa hapa bongo tu chukulia mfano lemutuz angekuwa ndo Mo dewji ingekuwa vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutetea ujinga kama wanafanya hivo wasishitakiwe kisa wanamafanikio

Pathetic

Sent using Jamii Forums mobile app
We mjinga soma uelewe kinachozungumzwa. Wabongo kwa kurukia post maanina kama kande ya unyago

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Harvey Weinstein, Charlie Sheen, Kevin Spacey, James Franco, n.k. wote hao si weusi na wamehusishwa na tuhuma za ubakaji au unyanyasaji wa kijinsia.

Kimsingi wanaume wengi sana hatuna elimu ya ubakaji. Juzi tu ndio nimejifunza kuwa manzi asiposema NDIO kwa tendo, hata kama hatasema HAPANA, huo unahesabika kama ubakaji. Hata akiwa mkeo.
 
Mkuu vipi 17 yrs mkikubaliana kugegedana?
 
Leo tena wanataka mpaka Kufukua Mwili wa Michael Jackson eti duuh[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26] Hili haliko sawaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia hio sheria unayolilia isianze na wewe maana unaonekana mdau kabisa kwa jinsi ulivyotoa ratiba nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…