Black skin always Black

Nikiwaza kwa upande wa akili hata ya D mbili naona yupo sahihi sana ila nikiwaza kuna watu wa spana na kutukuza watu weupe natamani kusema alichosema bwana Botha sio sahihi...ila watu weusi sisi aliyeturoga naye amerogwa na akafa kitambo sana kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa.
 
wakuu hivi shida ni kuwa na ngozi nyeusi au kukulia kwenye nchi za watu weusi?
 
wakuu hivi shida ni kuwa na ngozi nyeusi au kukulia kwenye nchi za watu weusi?
Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona anae mdharau mtu mweusi ndie huyo huyo yupo kwenye nchi ya watu weusi.

Tena yupo madarakani kwa kutumia nguvu ya silaha ili wawaweke hao watu weusi chini kimaisha na kifikra.

Akimuona mweusi alie taka kuleta maendeleo kwa weusi wenziwe watamuuwa mifano yake ipo. Angeulizwa Botha kama hayo kweli Madela alimuweka kizuizini kwanini?.

Jicho la tatu ukiangalia kama afrika kungekuwa na maendeleo nani angelikwenda ulaya na America?. Jamii ya watu weupe wanatumia nguvu kubwa kukandamiza jamii ya watu weusi ili kuwepo juu.

Gaddafi aliposema ataleta sarafu ya Afrika akiwa kama rais wa umoja wa Afrika kule Addis Ababa kifo kilimfika kutoka kwa hao hao wanao wadharau weusi. Wakijua siku watu weusi wakijiweza nao ndio anguko lao.
 
hatari sana aisee
 
hatari sana aisee
Sababu ya kuwepo United Nation,IMF na ICC ni kucontrol mataifa mengine hasa ya ngozi tofauti na nyeupe. Mfano Malaysia walitaka kuunda ndege yao wenyewe ikahitaji udhamini wa mkopo.

Walikwenda World Bank kuomba mkopo walikubaliwa lakini sharti ni kusita na kuunda ndege. Ndio maana mpaka leo Boeing ndio mkuu wa kuunda ndege.

Angalia nchi zilizo tawaliwa na mfaransa hela ya nchi yao ipo nchini ufaransa tena sio wao wanataka ila ndio ufaransa imewawekea sharti hilo. Sasa hapo kutakuwa na maendeleo gani kwa nchi za Afrika?.

Waafrika tunaitwa majina na kusemwa kama hivi ili na sisi wenyewe tujidharau tujione hatuna thamani yoyote. Kwasababu tukija ijua thamani yetu hawa wanao dharau hawatakuwa na maisha mazuri tena.
 
Hawa ni weusi waliogundua vitu ambavyo wazungu hawsna akili navyoo.
Garrett Morgan



Alexander Miles



Charles Drew



George Washington Carver



Super Soaker-lonnie Johnson (1949 – Present)



Marie Van Brittan Brown



Patricia Bath



Aero-foam-percy Lavon Julian (1899 – 1975)



Frederick McKinley Jones



George T. Sampson



George Crum



Madam C. J. Walker



Mae Jemison



Mark Dean



Thomas Elkins



Elijah McCoy



James West



Lewis Latimer—light Bulb



Mary Kenner



Otis Boykin (1922-1981)



Percy Julian



Philip Emeagwali



Ice Cream Scoop-alfred L. Cr



Frederick Jones


SO huo ni uongo tunaakili sana na tunajielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…