CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vip umefikia wap mkuu maana me mwenyew nawatafuta sana hawa Black Soldier Fly plz naomba nijuzeHabari zenu wadau?
Naomba kujua, hapa Tanzania ni wapi kuna project ya kuzalisha black sodier fly larva kwa ajili ya chakula cha kuku au samaki? Au hao flies wanapatikana humu Tanzania, wakoje?
Please. Malila na wengine okoeni jahazi!
mimi nimesoma hapa nimewatumia email nasubiri nijibiwe Insect-derived Protein ngoja nkipata updates ntakujuza mkuuKuna mahali nimesoma juu ya ufugaji wa funza Kibaha, lilikuwa gazeti la Mwananchi.
nadhani hii itakuwa njia mbadala nzuri ya chakula cha kuku badala ya vyakula vingine vyenye gharama kubwa kulinganisha na virutubisho vilivyomo ndani yake.Asante Jaxparo95