Black women are less prettier and attractive than others! Mmmh!

Black women are less prettier and attractive than others! Mmmh!

article-1388313-0C20B35A00000578-280_233x423.jpg

Satoshi Kanazawa
 
article-1388313-0D0315E0000005DC-878_224x385.jpg
article-1388313-0A5A75A7000005DC-291_224x385.jpg


According to Satoshi Kanazawal, 'science' would suggest Naomi Campbell is less attractive than fellow supermodel Elle Macpherson
 
<p>since white men cant jump,white women cant either.sorry doc,i knw where i stand,lol!na ushindi unategemea walioshindanishwa!
 
University league table

1) Cambridge
2) Oxford
3) St Andrews
4) LSE
5) UCL
 
mimi wanachoniuudhi blak women wengi ni

inferior comlex waliyonayo mbele ya wanawake wazungu au waarabu i hate that....

napenda wanawake weusi walio na nyodo na kujisikia wazuri kuliko wazungu na waarabu
then you get to be proud of me the boss.
No matter what they say mm cheusie najijua ni mrembo na hakuna atakayeniambia vingine.
Tena nikiendaga kwenye party hao wanawake wa kizungu wanakosa raha sbb all eyes of their white dudes r on me.
Kwa kifupi nikiwepo mm na mwanamke mweupe mm ndiye wanaume wananipa antetion awe ni black o white guy.
in short hiyo kauli ni ya kibaguzi lkn haina ukweli,sisi tumejaliwa ekibinda natural,our skin is free of wrinkles,we dont need sunscreen products,kama weusi ni mbaya mbona wanajitan ili wawe brown.
 
Hili ni swali la kujiuliza nafsi zetu wenyeww:
1) Wanawake wa kiafrika wengi hawaridhiki na urembo wao bali wanajichubua na kubadili nywele zao ziwe kama wazungu
2) Wanaume wengi waafrika wanapenda wanawake walio jichubua na nywele za singa
3) Kuna wengi wanachama humu humu JF jukwaani wamekuwa wakidhihaki picha na maumbile ya wenzao waafrika.
 
Wanaume na sisi tunachangia kwenye ili swala kwa mfano nina rafiki yangu mmoja mwanamke mzuri kwake ni yule mweupe, sasa akina dada wenye low self esteem wakisikia ili wanaishia kujichubua and whatnot. Au utasikia "nataka mtoto English Figure -whatever that is-"
 
attraction and being beautiful are two different things.
 
Somehow this is True....we are less attractive but we are so very beautiful than white women.

attraction and beauty are two different things!!

To me both are the same, that is, beauty comes first then attraction follows. Remember that beauty is on the eye of the beholder. Meaning that beauty is subjective since it is highly related to someone's feeling. Lini watafanya study ya wanaume? Au hizi ni preliminary findings za Big Brother shows (BBAs)?
 
Jamani kwani huyu mama Jayz anatumia mkorogo mbona naona tofauti kubwa sana kwenye hizi picha

article-1357197-0D332469000005DC-98_468x712.jpg



beyonce.jpg
 
I will never undervalue my nature Mu-sir,but eyes can judge better...nimesema issue ya beauty,wanawake weusi kweli wako beautiful,ila kwenye attractiveness wanawake weupe wana attract kwa haraka zaidi....

Sikubaliani na hii Michelle.
hata attractiveness, kwa ngozi nyeusi iko juu zaidi ya ngozi nyeupe. unaona hata mivao yao? utakuta mdada mweupe kavaa ovyo lakini akapita hapo wala watu wasitetemeke, check hiyo nguo ivaliwe na mdada mweusi, kila mtu anageuka.
 
Sikubaliani na hii Michelle.
hata attractiveness, kwa ngozi nyeusi iko juu zaidi ya ngozi nyeupe. unaona hata mivao yao? utakuta mdada mweupe kavaa ovyo lakini akapita hapo wala watu wasitetemeke, check hiyo nguo ivaliwe na mdada mweusi, kila mtu anageuka.

Nimepitia hapa kukusalimu rafiki yangu.

Nisalimie na mkwe wangu nyumbani

Mkweo ambaye ni ni atttactive na beautiful hajambo. Naendelea kukutunzia.
 
Duuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!! Lakini sio kina cheusi mangala..
 
Somehow this is True....we are less attractive but we are so very beautiful than white women.

attraction and beauty are two different things!!

No!Michelle,umekosea,kwanza hii inatakiwa tujibu wanaume,black is no 1,lakini inategemea na kila mtu na maoni yake ila maoni hayo yasichukuliwe ndo mawazo ya wanaume wote duniani
 
Cut the crap out

We are beautiful
We are attractive
We are sexy
We are super hot

Katika maisha yangu sintoo kaa
nimruhusu mtu aniambie I'm not attractive
Coz I'm black.. they can go to hell..yaani wanapoteza hizo fedha zote na muda wote huo kufanya research zisizo na maana very stupid.. kama kweli wanataka tuamini hizo research zao wachukue wa bibi wawili mmoja mweusi mwingine mweupe umri miaka80 then we will know the truth..
 
Back
Top Bottom