na usirudie tena mdogo wangu. sometimes we learn the hard wayWakubwa nashukuru kwa ushauri. Nimemtoa baru na nafikiri kanielewa. Kumbe na mwenyewe anaogopa kupewa notisi na mwenye nyumba, hapo ndipo nilipoumizia. Na sijatumia hata senti. Yaani nimejiona mjinga sana kwa pesa zote ambazo amekuwa akichukua kwangu. Nawashukuru. Nimejifunza.
na usirudie tena mdogo wangu. sometimes we learn the hard way
bubu huoni kuwa ukimtangaza huyo dada kuwa alikuwa
ni changudoa ndo itasaidia kumuumbua na aibu itampata...
Na pia ukimweleza mkeo kuwa uliwahi kununua huduma zake
zamani kabla hujampata yeye......itasaidia kumfanya
ajue kuwa zamani ulikuwa hujatulia lakini sasa umetulia..
huyu CD wako kwani mlikuwa na mkataba ..makubaliano yenu ilikuwa unamchota na kumlipa kisha unaachana nae
mwambie mazoea na wewe basi mbona kanakung'ang'ania kama luba
pole sana,huyo dada kashagundua wewe uko weak...
We siku moja mkaribishe ndani
halafu mshushie vibao vya nguvu.....
Ikiwezekana na mikanda umcharaze....
Utakuwa umemaliza kesi.....
Kuwa strong.....
pole sana mpige stop mazoea na wewe huyo dada navyoona akili yake sio nzuriUkweli dadangu hatukuwa na mkataba na huyo mtu. Nilikuwa nazuka viwanja hivyo, nacheza mziki wa bendi, nakunywa halafu saa ya kuondoka nang'oa dada poa mmoja, tukimaliza tunaishiana, hakuna cha zaidi. Nilichokosea mimi nafikiri ni tabia ya kumchukua huyohuyo karibu mara zote nilipochota demu sehemu hiyo, hadi akanizoea. Ilifikia hatua tulikuwa hatuongei tena bei, yaani kiasi kinaeleweka hata hakuna mjadala wa mapatano, bei imeshazoeleka.
Nilipoacha hiyo tabia nikawa siendi tena kiwanja kile, na hatukuonana tena almost 2 yrs. Sasa nilivyohamia makazi mapya nikakuta jirani ninayeshea nae ukuta ni yeye! Akaanza kunifanyia vituko nilivyoeleza mwanzo.
Lakini naona sasa shida labda imeisha maana nilivyomtoa baru jana kawa mpole kweli.
umeanza kwenda kiwanja kile?Ukweli dadangu hatukuwa na mkataba na huyo mtu. Nilikuwa nazuka viwanja hivyo, nacheza mziki wa bendi, nakunywa halafu saa ya kuondoka nang'oa dada poa mmoja, tukimaliza tunaishiana, hakuna cha zaidi. Nilichokosea mimi nafikiri ni tabia ya kumchukua huyohuyo karibu mara zote nilipochota demu sehemu hiyo, hadi akanizoea. Ilifikia hatua tulikuwa hatuongei tena bei, yaani kiasi kinaeleweka hata hakuna mjadala wa mapatano, bei imeshazoeleka.
Nilipoacha hiyo tabia nikawa siendi tena kiwanja kile, na hatukuonana tena almost 2 yrs. Sasa nilivyohamia makazi mapya nikakuta jirani ninayeshea nae ukuta ni yeye! Akaanza kunifanyia vituko nilivyoeleza mwanzo.
Lakini naona sasa shida labda imeisha maana nilivyomtoa baru jana kawa mpole kweli.
Wakubwa nashukuru kwa ushauri. Nimemtoa baru na nafikiri kanielewa. Kumbe na mwenyewe anaogopa kupewa notisi na mwenye nyumba, hapo ndipo nilipoumizia. Na sijatumia hata senti. Yaani nimejiona mjinga sana kwa pesa zote ambazo amekuwa akichukua kwangu. Nawashukuru. Nimejifunza.
Ndugu yangu pole mie ilinikuta hali tofauti kidogo mara mbili.
Mara ya kwanza nikiwa ni miaka27 ndugu yangu alinipeleka mitaa ya Ohio tukachukua wanawake, wale kina dada wakatupeleka mtaa Wa garden avenue. Huduma tulipata ingawa kwa karaha. Namaliza nakuja kugundua saa yangu ya 45000 imeibiwa na mkanda sina. Baada ya siku 3 Yule dada kapita mtaa Wa Mfaume nikiwa na baba yangu mzazi. Alivyokuwa anakuja nilistuka hadi nikapiga kelele. Baba yangu aliniuliza una mfahamu nilikata katakata.
Kesi ya pili Yule dada akanikuta zanzibar hotel pale kisutu alikuwa na mimba. Akatuma mhudumu mwite Yule kaka na mwangalia anae niita ni yule dada ila ana bonge la mimba. Nikamfuata kwa siri ili bibie asijue. Aka hitaji sh 20000 ili asimwambie mpenzi wangu kuwa mimba aliyobeba ni yakwangu kwakweli roho ili paa hata kuuliza vitu alivyoni ibia nikashindwa na siku ile nilitumia zana nilikuwa na uhakika mimba sio yangu. Nilitoa hela na kumsihi asije niharibia kwa mpenzi wangu mpya. Hawa wadudu usije jaribu hawafai
Nimehamia nyumba ingine hivi karibuni, ya kupanga. Ni upande wa nyumba, chumba kimoja na sebule. Kasheshe ni jirani wa upande wa pili. Dada mmoja hivi. Hapo miaka ya nyuma kidogo nimewahi kuwa na tabia (mbaya) ya kutembelea maeneo ya burudani ambako wanapatikana 'dada poa', na mara kwa mara nilikuwa namchukua huyu dada. Nimeacha hiyo tabia siku hizi. Lakini tangu nimehamia hapa, huyu dada kuniona tu anaanza tabia ya kunichangamkia sana na kuonesha kunifahamu mno. Mimi naona aibu kuonekana nikiwa nae hasa kwa sababu ya shughuli yake, na pia kwa sababu tabia hiyo nilishaiacha. Lakini alivyogundua namkwepa, ameanza tabia mpya, ya kuja kwangu kuomba hela. Na kwa kuwa sipendi aonekane kwangu, huwa nampa hela anayoomba haraka ili aondoke. Sasa kazoea na naona ananinyanyasa. Majuzi alikuja kuomba elfu 20, nikaona amezidi nikamweleza siwezi kumpa. Akatishia hatoondoka hadi nimpe hizo hela, na nikizidi kumbania atafichua siri yangu. Kusema kweli natishika, na kodi nimeshalipa ya mwaka! Ushauri plz.