Blackmailed, please help!

Blackmailed, please help!

Wakubwa nashukuru kwa ushauri. Nimemtoa baru na nafikiri kanielewa. Kumbe na mwenyewe anaogopa kupewa notisi na mwenye nyumba, hapo ndipo nilipoumizia. Na sijatumia hata senti. Yaani nimejiona mjinga sana kwa pesa zote ambazo amekuwa akichukua kwangu. Nawashukuru. Nimejifunza.
na usirudie tena mdogo wangu. sometimes we learn the hard way
 
na usirudie tena mdogo wangu. sometimes we learn the hard way

Nimekoma kaka. Yaani nimekoma kabisa huu upuuzi. Nilikuwa nimeshaacha siku nyingi, lakini hii ilikuwa tu mabaki ya matokeo ya ile tabia. Yaani hawana adabu hata kidogo hawa, akigundua unaonea aibu au una guilty feelings anagonga hapohapo! Kanitesa akili zaidi kuliko hata hela alizochukua.
 
huyu CD wako kwani mlikuwa na mkataba ..makubaliano yenu ilikuwa unamchota na kumlipa kisha unaachana nae
mwambie mazoea na wewe basi mbona kanakung'ang'ania kama luba
 
bubu huoni kuwa ukimtangaza huyo dada kuwa alikuwa
ni changudoa ndo itasaidia kumuumbua na aibu itampata...
Na pia ukimweleza mkeo kuwa uliwahi kununua huduma zake
zamani kabla hujampata yeye......itasaidia kumfanya
ajue kuwa zamani ulikuwa hujatulia lakini sasa umetulia..

yaani amwambie mke kuwa alikuwa anatembeaga na changudoa? sounds silly.
 
huyu CD wako kwani mlikuwa na mkataba ..makubaliano yenu ilikuwa unamchota na kumlipa kisha unaachana nae
mwambie mazoea na wewe basi mbona kanakung'ang'ania kama luba

Ukweli dadangu hatukuwa na mkataba na huyo mtu. Nilikuwa nazuka viwanja hivyo, nacheza mziki wa bendi, nakunywa halafu saa ya kuondoka nang'oa dada poa mmoja, tukimaliza tunaishiana, hakuna cha zaidi. Nilichokosea mimi nafikiri ni tabia ya kumchukua huyohuyo karibu mara zote nilipochota demu sehemu hiyo, hadi akanizoea. Ilifikia hatua tulikuwa hatuongei tena bei, yaani kiasi kinaeleweka hata hakuna mjadala wa mapatano, bei imeshazoeleka.

Nilipoacha hiyo tabia nikawa siendi tena kiwanja kile, na hatukuonana tena almost 2 yrs. Sasa nilivyohamia makazi mapya nikakuta jirani ninayeshea nae ukuta ni yeye! Akaanza kunifanyia vituko nilivyoeleza mwanzo.

Lakini naona sasa shida labda imeisha maana nilivyomtoa baru jana kawa mpole kweli.
 
pole sana,huyo dada kashagundua wewe uko weak...
We siku moja mkaribishe ndani
halafu mshushie vibao vya nguvu.....
Ikiwezekana na mikanda umcharaze....
Utakuwa umemaliza kesi.....
Kuwa strong.....

Hapa unanunua kesi......Penzi na changudoa huwa ni la mkataba, yaani huduma ya mapenzi kwa malipo. Kama ulikuwa unalipia huduma bila kukopa sioni tatizo liko wapi. Nashauri yafuatayo:
  1. Usimpe tena pesa
  2. Mweleze kuwa tabia hiyo umeacha na kwamba mheshimiane
Nadhani ukiweka msimamo wazi baada ya muda, somo litaeleweka. Ila usirogwe kuja kukumbushia penzi na huyu Binti.
 
Ukweli dadangu hatukuwa na mkataba na huyo mtu. Nilikuwa nazuka viwanja hivyo, nacheza mziki wa bendi, nakunywa halafu saa ya kuondoka nang'oa dada poa mmoja, tukimaliza tunaishiana, hakuna cha zaidi. Nilichokosea mimi nafikiri ni tabia ya kumchukua huyohuyo karibu mara zote nilipochota demu sehemu hiyo, hadi akanizoea. Ilifikia hatua tulikuwa hatuongei tena bei, yaani kiasi kinaeleweka hata hakuna mjadala wa mapatano, bei imeshazoeleka.

Nilipoacha hiyo tabia nikawa siendi tena kiwanja kile, na hatukuonana tena almost 2 yrs. Sasa nilivyohamia makazi mapya nikakuta jirani ninayeshea nae ukuta ni yeye! Akaanza kunifanyia vituko nilivyoeleza mwanzo.

Lakini naona sasa shida labda imeisha maana nilivyomtoa baru jana kawa mpole kweli.
pole sana mpige stop mazoea na wewe huyo dada navyoona akili yake sio nzuri
 
m2b, wewe kiboko...yaaani ulikuwa unakuwa unamchukua hadi akawa kama gf kabisa?! mimi nilidhani wale unatakiwa kupitia mara moja tu, next taimu unatafuta mwingine! ilikuwaje mazee ukamzowea huyu kihivyo? mkopo au mavituz mkubwa?! pole lakini ...swaaaaali la ndani sana hili
 
Ndugu yangu pole mie ilinikuta hali tofauti kidogo mara mbili.
Mara ya kwanza nikiwa ni miaka27 ndugu yangu alinipeleka mitaa ya Ohio tukachukua wanawake, wale kina dada wakatupeleka mtaa Wa garden avenue. Huduma tulipata ingawa kwa karaha. Namaliza nakuja kugundua saa yangu ya 45000 imeibiwa na mkanda sina. Baada ya siku 3 Yule dada kapita mtaa Wa Mfaume nikiwa na baba yangu mzazi. Alivyokuwa anakuja nilistuka hadi nikapiga kelele. Baba yangu aliniuliza una mfahamu nilikata katakata.
Kesi ya pili Yule dada akanikuta zanzibar hotel pale kisutu alikuwa na mimba. Akatuma mhudumu mwite Yule kaka na mwangalia anae niita ni yule dada ila ana bonge la mimba. Nikamfuata kwa siri ili bibie asijue. Aka hitaji sh 20000 ili asimwambie mpenzi wangu kuwa mimba aliyobeba ni yakwangu kwakweli roho ili paa hata kuuliza vitu alivyoni ibia nikashindwa na siku ile nilitumia zana nilikuwa na uhakika mimba sio yangu. Nilitoa hela na kumsihi asije niharibia kwa mpenzi wangu mpya. Hawa wadudu usije jaribu hawafai
 
Ukweli dadangu hatukuwa na mkataba na huyo mtu. Nilikuwa nazuka viwanja hivyo, nacheza mziki wa bendi, nakunywa halafu saa ya kuondoka nang'oa dada poa mmoja, tukimaliza tunaishiana, hakuna cha zaidi. Nilichokosea mimi nafikiri ni tabia ya kumchukua huyohuyo karibu mara zote nilipochota demu sehemu hiyo, hadi akanizoea. Ilifikia hatua tulikuwa hatuongei tena bei, yaani kiasi kinaeleweka hata hakuna mjadala wa mapatano, bei imeshazoeleka.

Nilipoacha hiyo tabia nikawa siendi tena kiwanja kile, na hatukuonana tena almost 2 yrs. Sasa nilivyohamia makazi mapya nikakuta jirani ninayeshea nae ukuta ni yeye! Akaanza kunifanyia vituko nilivyoeleza mwanzo.

Lakini naona sasa shida labda imeisha maana nilivyomtoa baru jana kawa mpole kweli.
umeanza kwenda kiwanja kile?
 
Wakubwa nashukuru kwa ushauri. Nimemtoa baru na nafikiri kanielewa. Kumbe na mwenyewe anaogopa kupewa notisi na mwenye nyumba, hapo ndipo nilipoumizia. Na sijatumia hata senti. Yaani nimejiona mjinga sana kwa pesa zote ambazo amekuwa akichukua kwangu. Nawashukuru. Nimejifunza.

That's what JF is all abt.Entertain,teach and help ones in need.Thanx for sharing.
 
Ndugu yangu pole mie ilinikuta hali tofauti kidogo mara mbili.
Mara ya kwanza nikiwa ni miaka27 ndugu yangu alinipeleka mitaa ya Ohio tukachukua wanawake, wale kina dada wakatupeleka mtaa Wa garden avenue. Huduma tulipata ingawa kwa karaha. Namaliza nakuja kugundua saa yangu ya 45000 imeibiwa na mkanda sina. Baada ya siku 3 Yule dada kapita mtaa Wa Mfaume nikiwa na baba yangu mzazi. Alivyokuwa anakuja nilistuka hadi nikapiga kelele. Baba yangu aliniuliza una mfahamu nilikata katakata.
Kesi ya pili Yule dada akanikuta zanzibar hotel pale kisutu alikuwa na mimba. Akatuma mhudumu mwite Yule kaka na mwangalia anae niita ni yule dada ila ana bonge la mimba. Nikamfuata kwa siri ili bibie asijue. Aka hitaji sh 20000 ili asimwambie mpenzi wangu kuwa mimba aliyobeba ni yakwangu kwakweli roho ili paa hata kuuliza vitu alivyoni ibia nikashindwa na siku ile nilitumia zana nilikuwa na uhakika mimba sio yangu. Nilitoa hela na kumsihi asije niharibia kwa mpenzi wangu mpya. Hawa wadudu usije jaribu hawafai

Dah mkuu Mabondo pole sana! Inaelekea hukumkamua kisawasawa huyu bibie. Yaaani wee unakukuruka ye bado anapata akili ya kukuchapa saa na mkanda????? Hii hakika ni dizaini ya wale ambao we unahangaikaaaa, yeye anasuka nywele! :whoo:

 
Nimehamia nyumba ingine hivi karibuni, ya kupanga. Ni upande wa nyumba, chumba kimoja na sebule. Kasheshe ni jirani wa upande wa pili. Dada mmoja hivi. Hapo miaka ya nyuma kidogo nimewahi kuwa na tabia (mbaya) ya kutembelea maeneo ya burudani ambako wanapatikana 'dada poa', na mara kwa mara nilikuwa namchukua huyu dada. Nimeacha hiyo tabia siku hizi. Lakini tangu nimehamia hapa, huyu dada kuniona tu anaanza tabia ya kunichangamkia sana na kuonesha kunifahamu mno. Mimi naona aibu kuonekana nikiwa nae hasa kwa sababu ya shughuli yake, na pia kwa sababu tabia hiyo nilishaiacha. Lakini alivyogundua namkwepa, ameanza tabia mpya, ya kuja kwangu kuomba hela. Na kwa kuwa sipendi aonekane kwangu, huwa nampa hela anayoomba haraka ili aondoke. Sasa kazoea na naona ananinyanyasa. Majuzi alikuja kuomba elfu 20, nikaona amezidi nikamweleza siwezi kumpa. Akatishia hatoondoka hadi nimpe hizo hela, na nikizidi kumbania atafichua siri yangu. Kusema kweli natishika, na kodi nimeshalipa ya mwaka! Ushauri plz.

Mtafune tena!
 
Back
Top Bottom