Kwa mujibu wa TBC taifa Radio..Mhe Blades amechukua kiti cha Jimbo la Karagwe kwa kumshinda mgombea wa chadema.Amepata kura 32,000+ na mpinzani kapata kwenye 20++++
CCM wameendelea kuchakachua tu.
Inavyoelekea majimbo kwa vyama vya upinzani ndio basi hali hii inasikitisha kuandamana sio dawa deal unamvizia msimamizi mmoja unamchinja wengine watatia akili :A S angry: