Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Blinken amesema ipo tabia mbaya ambapo mataifa makubwa yanapenda kuingilia siasa za nchi nyingine..
Akizungumza jana alipokuwa Afrika Kusini alisema nchi yake haitaingilia masuala ya demokrasi katika nchi ya Kenya na Nigeria. Amesema nchi za Kiafrika zikatae masharti zinazopewa na nchi za kigeni.
Pia ametoa onyo kwa kundi la Wagner, kundi la mamluki wa Kirusi ambalo linafanya shughuli zake Libya,Mali na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Amesema kundi hilo halitambuliwi na Serikali ya Urusi. Linafadhiliwa na matajiri wa Urusi.
Akizungumza jana alipokuwa Afrika Kusini alisema nchi yake haitaingilia masuala ya demokrasi katika nchi ya Kenya na Nigeria. Amesema nchi za Kiafrika zikatae masharti zinazopewa na nchi za kigeni.
Pia ametoa onyo kwa kundi la Wagner, kundi la mamluki wa Kirusi ambalo linafanya shughuli zake Libya,Mali na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Amesema kundi hilo halitambuliwi na Serikali ya Urusi. Linafadhiliwa na matajiri wa Urusi.