Niliwahi mara moja boss wao alipokuwa anahojiwa akaropoka yale ya zari. Aisee the whole interview was awkward, totaly unproffesional. Hadi unawaza inamaana waliowaajiri hawalioni hili? From there i never bothered.
Kwanini umesema diamond alikuwa anaropoka?
Mbona malalamiko haya ni mapya?Basi kuna mabadiliko makubwa sana——
Mbona malalamiko haya ni mapya?
Mbona malalamiko haya ni mapya?
Hakuna ambacho kitakuwa kikamilifu hata tukiwapa miaka 1000! Hata radio kongwe matatizo na mapungufu ni haya haya.... lakini kama nimsikilizaji utagundua kuna mabadiliko!
unakiangalia? wap?Ila kwangu ni tofauti hiko kipindi ndio favorite kwangu na nakipenda Sana kila ikifika saa 2 usiku lazima nikiangalie.