Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo hewani: fungua www.rsmiruko.blogspot.com
The connection has timed out
The server at rsmiruko.blogspot.com is taking too long to respond.
* The site could be temporarily unavailable or too busy. Try again in a few
moments.
* If you are unable to load any pages, check your computer's network
connection.
* If your computer or network is protected by a firewall or proxy, make sure
that Firefox is permitted to access the Web.
wana jamvi naomba kama kuna mtu mwingine anaweza ku access blog za watanzania, for about three days Blog Nyingi zimekuwa hazinguki sijui kwa sababu
Je inawezekana blog za Kibongo zimepigwa Pini?
Tatizo la blog za kibongo, zinajazwa graphics nyingi wakati wabongo wengi wanamiliki computer zenye RAM capacity 256MB.
Mzee unakosea sana kwa hiyo assumption yako.... Kwa miaka hii hakuna PC inayouzwa na RAM below 1GB, zile za zamani pia lazima u upgrade RAM to at least! 512MB ambayo nayo ni tatizo!
Nadhani huyo bwana tatizo lake ni Bandwidth tu!